Tanzania, Kamanda ahamishwa baada ya kauli iliyozusha hasira – DW – 19.08.2024

Sakata la binti aliyebakwa na kulawitiwa nchini Tanzania, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo, IGP, Camilius Wambura kumuhamisha kamanda wa polisi mkoani Dodoma, RPC Theopista Mallya na nafasi yake kuchukuliwa na George Katabazi, huku jeshi hilo likitangaza kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi…

Read More

Okoeni demokrasia kwa kumchagua Harris – DW – 20.08.2024

Akizungumza kwa maneno yaliyosikika vyema huku akiwa mwenye nguvu na uchangamfu, Biden aliwataka raia wa Marekani wamchague Harris badala ya Trump, ambaye alimuita mhalifu aliye na mashtaka mahakamani.  “Huwezi kusema tu kwamba unaipenda nchi yako unaposhinda,” alisema Biden, akizungumzia madai ya Trump kwamba matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020 ambao alishindwa na Biden, yalichakachuliwa. Alitoa…

Read More

RAIS SAMIA AWAKONGA MOYO SINGIDA MASHARIKI

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ametembelea na kugua ujenzi wa miradi ya maji katika Kijiji Cha Mang’onyi ,mradi wa maji wa Kijiji cha Sakaa na Ujenzi wa Tanki la Maji katika Kijiji Cha Minyinga ambayo kukamilika kwake kutaondoa adha ya wananchi kutembea umbali mrefu kusaka maji. Akiwa katika Kijiji Cha Mang’onyi ambapo mradi…

Read More

Mafunzo ya usalama Osha ni zaidi ya darasa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Saa nne za mafunzo ya usalama kazini kwa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (Jowuta) zilionekana hazitoshi kutokana na wengi kuwa na shauku ya kutaka kujifunza zaidi. Wako waliosikika wakisema ‘kumbe tunajimaliza wenyewe’, ‘nitanunua kiti changu niende nacho ofisini’, ‘nitaanza kubeba kipande cha mkaa kwenye mkoba wangu’ na…

Read More

Athari za watoto kwenda shule wakiwa na njaa

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo na Chakula Duniani (FAO), limesema watoto wengi nchini Tanzania wanakwenda shuleni wakiwa na njaa. Mbali na hilo, Daktari wa binadamu, Edger Rutaigwa amesema lishe bora ni sehemu ya kinga ya magonjwa mbalimbali ya binadamu, akisisitiza lishe mbaya ndio chanzo cha maradhi mengi. Wamesema hayo leo…

Read More