Hospitali Amana yadhamiria kuokoa maisha ya watoto njiti

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana imeanza kampeni ya kutafuta Sh bilioni 3 kwa lengo la kuboresha miundombinu na kununua vifaa tiba kuwaokoa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti). Hospitali hiyo inahudumia watoto wengi wanaozaliwa kabla ya wakati ambapo ina vitanda vidogo 80 na vitano tu vinavyomuwezesha mama kulala…

Read More

Faida za kupata kifungua kinywa kila siku asubuhi zatajwa

Dar es Salaam. Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imeshauri umuhimu wa Watanzania kujijengea utaratibu wa kila asubuhi kuanza na kifungua kinywa kabla ya kuwahi kwenye majukumu yao, ili kupata nguvu ya kukabiliana na kazi zilizo mbele yao. Imesema bila kufanya hivyo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi yeyote kwa ufanisi na kupata tija inayotakiwa…

Read More

Wanachama wa Chadema watahadharishwa ‘uchawa’

Dar es Salaam. Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amesema hali ya umaskini uliokithiri nchini kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa, ni sababu ya kujikuta wakigeuka kuwa ‘chawa.’ Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 19, 2024 kwenye kongamano la Baraza la Wanawake (Bawacha) lililofanyikia Moshi, mkoani Kilimanjaro na Mwenyekiti…

Read More

Azam Fc yakabidhiwa Milioni 5 za Goli la Mama

KLABU ya Azam FC ya jijini Dar es Salaam, imekabidhiwa Sh milioni 5 ya Goli la Mama kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, kutokana na ushindi wake bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wengine walionyakua zawadi hiyo ya Goli la…

Read More

Aliyezuia usajili Fountain Gate huyu hapa

Mabosi wa Fountain Gate, bado wanahaha kunusuru usajili ili kuanza msimu mpya, lakini kama unataka kumjua staa aliyezuia usajili ni Rodrigo Figueiredo Calvalho. Fountain Gate imeshindwa kucheza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, kutokana na madai ya kusitishiwa mkataba kwa Rodrigo, raia wa Brazil. Mshambuliaji huyo ambaye aliitumikia timu hiyo kwa…

Read More

MVP Simba awatoa hofu mashabiki

BAADA ya Simba kuanza Ligi Kuu Bara kwa ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United, kiungo wa mpya wa kikosi hicho, Ahoua Charles amewatoa hofu mashabiki wao akisema hana presha na kiwango chake wala kikosi na ni suala la muda tu mambo yatakuwa matamu zaidi. Katika msimu wa 2023/24 Ahoua aliibuka mchezaji bora…

Read More

Kuwa mshua na sloti ya Planet Power

Kutana na Sloti inayotema pesa kama mashine za ATM, Planet Power Kasino kutoka Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, kila ukicheza UNASHINDA Mamilioni. Jisajili hapa ubadili maisha yako. Ukiacha michezo mingine bora inayotolewa na Expanse Studio, unayoweza kuipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, Expanse wamekuletea mzigo mwingine wa kutengeneza mkwanja kiganjani mwako. Sloti ya Planet Power,…

Read More

Askari JWTZ, Magereza kortini madai ‘waliotumwa na afande’

Dodoma. Watu wanne akiwemo askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza wanaotuhumiwa kumbaka kwa kikundi na kumlawiti binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma na kusomewa mashtaka mawili. Watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu, Agosti 19, 2024 mbele…

Read More