
Hospitali Amana yadhamiria kuokoa maisha ya watoto njiti
Na Nora Damian, Mtanzania Digital Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana imeanza kampeni ya kutafuta Sh bilioni 3 kwa lengo la kuboresha miundombinu na kununua vifaa tiba kuwaokoa watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti). Hospitali hiyo inahudumia watoto wengi wanaozaliwa kabla ya wakati ambapo ina vitanda vidogo 80 na vitano tu vinavyomuwezesha mama kulala…