Chama aandika rekodi tatu CAF, amfukuzia Tresor Mputu

BAO moja la Clatous Chama katika ushindi wa mabao 4-0 ambao Yanga iliupata dhidi ya Vital’O ya Burundi, Jumamosi iliyopita katika Ligi ya Mabingwa Afrika, limemfanya kuandika rekodi mbili huku akiboresha nyingine ya tatu. Chama alifunga bao dakika ya 68 akiunganisha mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani ambao ulitokana na shuti lililoupigwa na Stephane Aziz…

Read More

TRA yajitosa Ndondo Cup, yatoa Mil 40

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza udhamini wa TZS milioni 40.5 kwenye mashindano ya Ndondo Cup, kwa kushirikiana na Uongozi wa Michezo wa Shadaka. Udhamini huu muhimu unaashiria dhamira ya TRA ya kukuza ushirikishwaji wa jamii kupitia michezo huku ikikuza mipango muhimu ya elimu ya kodi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)….

Read More

Wamiliki wa mabasi wabuni mkakati kukabili athari za SGR

Dar es Salaam. Wakiwa na wasiwasi juu ya kasi ya kupoteza biashara katika njia ya Dar es Salaam-Morogoro-Dodoma, wamiliki wa mabasi wamebuni mkakati utakaowawezesha kuendelea kubaki kwenye biashara, baada ya kuanza kwa safari za treni ya kisasa (SGR). Tangu kuanza kwa usafiri wa treni ya kisasa miezi miwili iliyopita ikihusisha njia ya  Dar es Salaam…

Read More

Enekia aanza kutupia Mexico | Mwanaspoti

SIKU chache tu tangu atambulishwe Mazaltan FC ya Mexico, nyota wa kimataifa wa Tanzania, Enekia Lunyamila amefunga bao kwenye mchezo wa ligi ya Sweden na kuipatia ushindi timu hiyo. Lunyamila alitambulishwa Mazaltan akitokea Eastern Flames ya Saudia ambayo ilimaliza nafasi ya saba kati ya timu nane zinazoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo. Msimu uliopita Mazaltan…

Read More

Ripoti: Wanaolawitiwa, kubakwa waongezeka nchini

Dar es Salaam. Matukio ya ubakaji na ulawiti yanayoripotiwa kwenye vituo vya polisi nchini Tanzania,   yameongezeka kutoka 23 kwa siku mwaka 2022 hadi 31 mwaka 2023, Takwimu za Msingi Tanzania – 2023 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zimeonyesha. Kwa mujibu wa takwimu hizo, ulawiti umeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka 2023…

Read More

Sababu ya Warriors Queens kujiondoa Cecafa

KATIBU Mkuu wa Warriors Queens ya Zanzibar, Neema Othman Machano amesema sababu ya kujiondoa kwenye mashindano ya Cecafa kwa wanawake ngazi ya klabu ni changamoto ya kifedha ikiwemo usafiri. Michuano hiyo ya kuwania nafasi ya kuuwakilisha Ukanda wa Cecafa katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake ilianza juzi ambapo Tanzania ilitarajiwa kuwakilishwa na timu…

Read More