Dabo asaka dawa ya APR

KAULI ya Kocha Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo kuhusu wapinzani wake APR imeonekana kuwa na maswali mengi juu ya kitakachoenda kutokea katika mchezo wa marudiano jijini Kigali nchini Rwanda. Juzi Jumapili Azam iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya APR ya Rwanda katika mchezo wa kwanza hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa…

Read More

Haiko tayari kuzungumza na Ukraine – DW – 19.08.2024

Ukraine imesema operesheni hiyo inalenga kuunda eneo salama na kumaliza kabisa vita vya mataifa hayo mawili jirani. Agosti 6 Ukraine ilituma vikosi vyake katika eneo la mpakani na kuanza kuushambulia mji wa magharibi wa Kursk, mashambulizi yanayosemekana kuwa mabaya, tangu Urusi iivamie nchi hiyo mwezi Februari mwaka 2022. Hatua hiyo imeikasirisha Urusi na kuishtua Jumuiya…

Read More

Mtoto aliyekatwa mguu amshukuru Samia kwa mguu wa bandia

Tunduma. ‘Hujafa, hujaumbika’ ndiyo kauli unayoweza kusema kwa mtoto Ebeneza Mwakasyele (8) aliyepoteza mguu wa kushoto mwaka 2019 na kutembelea magongo baada ya kukatwa kutokana na kuugua ugonjwa usiojulikana chanzo chake. Lakini hayo yote yamepita baada ya Ebeneza anayesoma darasa la tatu katika Shule ya Msingi Tunduma mkoani Songwe kupata mguu wa bandia. Ebeneza alirejeshewa…

Read More

Tabora United na rekodi mbovu mechi 16 ugenini

KICHAPO cha mabao 3-0 ilichokipa Tabora United dhidi ya Simba juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa KMC Complex jiji Dar es Salaam, kimeifanya timu hiyo kuendeleza rekodi mbovu ya ugenini kuanzia msimu uliopita hadi sasa. Kikosi hicho kilichopanda daraja msimu wa 2022-2023 na kucheza Ligi Kuu Bara msimu uliopita kilicheza michezo…

Read More

Blinken amsisitizia Netanyahu akubali kusitisha vita Gaza – DW – 19.08.2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema mkutano wa saa tatu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken ulikuwa mzuri. Blinken anatazamiwa kusafiri kesho Jumanne kwenda Cairo, Misri ambako mazungumzo ya kusitisha mapigano yanatarajiwa kuanza tena wiki hii. Soma Pia:   Kamala Harris aashiria mabadiliko makubwa kwenye sera ya Marekani kuhusu Gaza.   Mkutano…

Read More

HISIA ZANGU: Akaunti zetu hazitoshi kwa Mayele tena

MAFARAO wa Misri walikamilisha Ligi Kuu yao wikiendi hii iliyoisha. Watu wa ajabu kidogo. Wakati duniani katika maeneo mbalimbali ligi zinaanza wao ndio wametamatisha ligi yao. Sijui wanatumia mfumo upi ambao unawasiganisha na dunia. Na katika msimu huu ulioisha walikuwa na ugeni wa mchezaji anayeitwa Fiston Mayele. Aliondoka katika ardhi ya Tanzania akiwa shujaa anayetetema….

Read More

WATUHUMIWA WANNE WA KESI YA UBAKAJI BINTI WA YOMBO WAFIKISHWA MAHAKAMANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    atuhumiwa wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kufuatia video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha binti akiingiliwa kinyume na maumbile na kikundi cha watu huku wakidai wametumwa na afande kufanya uovu huo. Akizungumza leo Jijini Dodoma mara baada ya kusomwa kwa mashtaka yanayowakabili washtakiwa hao, Mkurugenzi Msaidizi wa Makosa dhidi ya…

Read More