RC Mtaka: Utakuwa uchaguzi huru na haki

Dar es Salaam. Misingi ya demokrasia na uwajibikaji inajengwa na uchaguzi huru na haki unaotarajiwa kushuhudiwa Novemba mwaka huu, ukihusisha kuchagua viongozi wa ngazi ya mtaa, vijiji na vitongoji. Uchaguzi huo unatoa fursa kwa wananchi kushiriki moja kwa moja katika kuchagua viongozi wanaowaongoza katika ngazi ya chini ya utawala, jambo linalochangia katika ujenzi wa Taifa…

Read More

TPA kuanza kukusanya tozo ya ‘wharfage’

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuanzia Septemba mosi 2024 itaanza kukusanya malipo ya tozo ya matumizi ya miundombinu ya bandari (wharfage) kwa mizigo yote. Taarifa kwa umma iliyotolewa na TPA leo Ijumaa Agosti 30, 2024 kupitia kwenye vyombo vya habari, imesema hatua hiyo inatokana na mabadiliko ya sheria. Kutokana na…

Read More

Urusi na Ukraine zakabiliana vikali – DW – 30.08.2024

Makabiliano hayo yanafanyika katika wakati ambapo mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo mjini Brussels kwa lengo la kujadili namna ya kutoa mafunzo ya wanajeshi wa Ukraine katika makabiliano yao na Urusi. Taarifa za ndani katika maeneo hayo zinaeleza kuwa shambulizi kubwa la anga limeharibu miundombinu ya raia katika mji wa…

Read More

Wabunge wataka makali bei ya umeme ipungue

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kukokotoa upya bei ya umeme baada ya mradi wa kufua nishati hiyo wa Julius Nyerere (JNHPP) kukamilika ili kumpa nafuu Mtanzania. Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Agosti 30, 2024, Mbunge wa Lupa, Masache Kasaka amesema mradi wa JNHPP umeanza uzalishaji umeme wa kutosha na kuna wa ziada. Kutokana na hilo…

Read More

Yaliyotupa nguvu, yatakayotupa nguvu zaidi kwa miaka mingi ijayo

Msemo wa wahenga unasema: “Kile kisichokuua kinakufanya kuwa na nguvu zaidi.” Msemo mwingine unasema hivi: “Meli bandarini iko salama, lakini haijajengwa kwa ajili ya kubaki bandarini.” Hiyo ndiyo imekuwa safari ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) – kuchunguza, kuthubutu na kushinikiza mipaka, ingawa ndani ya mipaka husika. Katika mchakato huo tulijikuta tukiungua vidole mara kwa mara….

Read More

Sh2.55 bilioni kutumika kuweka alama za barabarani mikoa yote

Dodoma. Serikali imetenga Sh2.55 bilioni katika mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya uwekaji alama na michoro ya usalama barabarani kwenye barabara kuu na za mikoa. Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya amesema hayo leo Agosti 30, 2024 alipojibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Latifa Khamis Juakali. Mbunge huyo amehoji Serikali imejipanga vipi katika…

Read More

CEO Namungo abwaga manyanga | Mwanaspoti

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Namungo FC, Omar Kaya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo. Kaya ambaye amewahi kuwa katibu mkuu wa Yanga, amethibitisha uamuzi huo kupitia ukurasa wake wa Instagram. “Mimi Omar Kaya siku ya leo Agosti 30, 2024 nimewasilisha kwa viongozi barua ya kujiuzulu nafasi ya Utendaji Mkuu wa Klabu ya NamungoFC. “Hivyo…

Read More

PROGRAMU YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYABIASHARA WA NDANI YA BARRICK YAWAFIKIA WAFANYABIASHARA KAHAMA

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mboni Mhita akiongea katika hafla ya ufunguzi wa mafunzo hayo *** Katika mwendelezo wa kuwajengea uwezo wafanyabiashara wa ndani kupitia mafunzo yanayotolewa na kampuni ya Barrick nchini kupitia Programu yake ya kuendeleza biashara za ndani ili ziweze kunufaika na sekta ya madini (Local Business Development Programme), Wajasiriamali wapatao 150 kutoka…

Read More