Mpox yasambaa kwa kasi DR Congo – DW – 19.08.2024

Kati ya visa vilivyorekodiwa na kutibiwa, asilimia 75 ni watoto wenye umri wa miaka 0 hadi 15, na wengi wa wagonjwa wanatoka katika kambi za wakimbizi zinazowahifadhi wahanga wa vita. Huku Kongo ikiwa na zaidi ya asilimia 96 ya kesi za Monkeypox zilizoripotiwa duniani mwaka huu, nchi hiyo pia inakabiliwa na janga kubwa la kiafya,…

Read More

Hali ya hewa yakwamisha mapokezi ya ndege mpya Zanzibar

Unguja. Ndege mpya aina ya Boeing B8787- Dreamliner iliyokuwa inatarajiwa kupokewa leo Jumatatu Agosti 19, 2024, imekwama. Kwa mujibu ratiba iliyokuwa imetolewa, ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 262 ilikuwa ikitarajiwa kutua saa 10:00 jioni kisiwani humo na kupokelewa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Aman Karume,…

Read More

KESI YA UKAHABA: Hakimu ahamishwa, yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Kesi ya ukahaba inayomkabili, Amina Ramadhani na wenzake 17 imeshindwa kuendelea na ushahidi baada ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Sokoine Drive, Francis Mhina kuhamishwa katika mahakama hivyo. Washtakiwa hao wanadaiwa wakati wanakamatwa walikuwa wamevaa mavazi yasiyo ya heshima, ambayo ambayo ni kiashiria cha vitendo vya ukahaba. Akizungumza mbele ya Hakimu…

Read More

PUMZI YA MOTO: Azam Complex imeanzia ilipoishia

 MSIMU wa mashindano wa 2024/25 umeanza nchini Tanzania, kwa mashindano ya ndani na ya nje. Kuanza kwa msimu ni kuanza kwa biashara zote zinazoambatana na mpira, ikiwemo ya viwanja vya kuchezea. Na kama kuna uwanja umeanza kwa kishindo basi ni Azam Complex, uwanja wa nyumbani wa Azam FC, uliopo pale Chamazi. Kwa siku tatu tu,…

Read More

Mgombea pekee naye kupigiwa kura

Dodoma. “Mitaa imetulea, kura yangu itaiboresha.” Ni kauli inayoweza kutumiwa na wakazi kwenye mitaa, vitongoji na vijiji kuona umuhimu wa ushiriki wao kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Ni uchaguzi ambao mwaka huu mgombea pekee atapigiwa kura ya ‘ndio’ au ‘hapana’. Hakuna kupita bila kupingwa na kampeni za uchaguzi zitafanyika kwa…

Read More

Mapambano makali yaendelea kati ya Urusi na Ukraine – DW – 19.08.2024

Droni hizo ziliharibiwa katika anga ya maeneo ya Mykolaiv, Cherkasy, Vinnytsia, Kyiv, Dnipropetrovsk, Kharkiv, Sumy na Donetsk, hii ikiwa ni kulingana na jeshi la anga la Ukraine kupitia ukurasa wake wa Telegram. Hadi sasa hakuna ripoti za uharibifu wa miundombinu zilizoripotiwa kufuatia shambulizi hilo. Haya yanajiri wakati Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy akisema jana Jumapili…

Read More