KAPINGA; AZINDUA KITUO CHA MAUZO YA MAKAA YA MAWE MBINGA"

NAIBU waziri wa nishati Mh Judith Kapinga amezindua kituo cah mauzo ya makaa ya mawe kinachoendeshwa na kampuni ya Market insight limited MILCOAL kilichopo katika kijiji cha Paradiso kata ya Ruanda wilaya ya mbinga mkoa wa Ruvuma. Akizungumza katika uzinduzi huo Mh Judith Kapinga ambaye ndie mgeni rasmi ameipongeza kampuni ya MILCOAL kwa kuchagua wilaya…

Read More

Hali ya hewa yakwamisha Dreamliner kutowasili Z’bar

  Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ndege aina ya Boeing B787-8 Dreamliner, ambayo ilitarajiwa kutua kwa mara ya kwanza kwa uzinduzi leo tarehe 19 Agosti 2024, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar, haitoweza kufika kama ilivyopangwa kutokana na changamoto za hali ya hewa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar… (endelea). Mapokezi…

Read More

Kazakhstan Inaongoza katika Msukumo wa Kimataifa wa Upokonyaji Silaha za Nyuklia Huku Kukiwa na Mvutano Uliokithiri – Masuala ya Ulimwenguni

Kati ya Jiji la Astana na mnara wa Bayterek. Credit: Wikimedia Commons Maoni na Katsuhiro Asagiri (Tokyo/astana) Jumatatu, Agosti 19, 2024 Inter Press Service TOKYO/ASTANA, Agosti 19 (IPS) – Katika dunia inayozidi kugubikwa na tishio la vita vya nyuklia, Kazakhstan inaongeza juhudi zake katika harakati za kimataifa za upokonyaji silaha. Mnamo Agosti 27-28, 2024, kwa…

Read More

BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) LATOA WITO HAKI KWA WAMASAI WA NGORNGORO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) limeeleza wasiwasi wake juu ya haki za jamii ya Wamaasai wanaoishi katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, wakisema kwamba kutowasikiliza ni kuwanyima haki zao za msingi.* Kauli hii imetolewa kufuatia maandamano yaliyofanywa jana na mamia ya vijana na wanawake wa jamii ya Wamaasai, wakishinikiza Serikali kuwapatia huduma…

Read More

ASILIMIA 53 YA TAASISI ZA UMMA TANZANIA ZATUMIA MFUMO WA e-OFFICE KUTUNZA KUMBUKUMBU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Asilimia 53 ya taasisi za umma nchini Tanzania sasa zinatumia mfumo wa ofisi mtandao (e-office) katika utunzaji wa kumbukumbu na usimamizi wa nyaraka za kidijiti, hatua ambayo imeongeza ufanisi katika utendaji kazi wa serikali.* Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi, Xavier Daud, wakati akifungua Mkutano wa 59 wa Bodi ya Baraza la…

Read More

IGP Wambura amhamisha RPC Dodoma, Polisi yaomba radhi

Dar es Salaam. Inspekta Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Camilius Wambura amemhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma (RPC), Theopista Mallya na nafasi yake kurithiwa na George Katabazi, huku jeshi hilo likitangaza kuwafikisha mahakamani leo watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam. Kamanda Mallya anaondolewa…

Read More