Mitihani mitano aliyoanza nayo Fadlu Simba

Dar es Salaam. Simba SC imempa jukumu Kocha Fadlu Davids kuiongoza timu hiyo msimu huu wa 2024-2025 katika mashindano mbalimbali wanayoshiriki yakiwamo Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika. Fadlu raia wa Afrika Kusini, ametua Simba kuchukua mikoba ya Mualgeria, Abdelhak Benchikha ambaye aliondoka kikosini hapo Aprili 2024, siku chache baada ya kufungwa 2-1…

Read More

R4 za Samia kutumika kusuluhisha migogoro ya kibiashara

Dar es Salaam. Taasisi ya Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara Tanzania (TIArb) imesema itatumia falsafa ya R4 za Rais Samia Suluhu Hassan katika utatuzi wa migogoro katika sekta ya ujenzi na uwekezaji kimataifa nje ya Mahakama. Alipoingia madarakani Machi, mwaka 2021, Rais Samia alikuja na falsafa ya R4 zikiwa ni kifupisho cha maneno ya Kiingereza;…

Read More

Ouma: Coastal tutapindua meza mchezo ujao

Licha ya Coastal Union kufumuliwa mabao 3-0 katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika na Bravos do Marquis ya Angola, kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya David Ouma amesema bado hajakata tamaa na matokeo hayo akijipanga kupindua meza mchezo wa marudiano. Coastal iliyorejea katika michuano ya kimataifa tangu mwaka…

Read More

Makocha wazawa wapandishe thamani Ligi Kuu

Dar es Salaam. Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/2o25 ilianza rasmi Ijumaa iliyopita kwa mchezo baina ya Pamba Jiji na Tanzania Prisons uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo ulimalizika kwa timu hizo kugawana pointi moja moja baada ya dakika 90 kumalizika kwa matokeo ya sare tasa. Msimu mpya umeanza huku ukiwa…

Read More