KUANZISHA ENEO LA AMANI NDANI YA URUSI NI SEHEMU YA MKAKATI WA ULINZI WA UKRAINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametangaza kuwa kuanzisha eneo la amani ndani ya ardhi ya Urusi ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu wa ulinzi wa Ukraine. Akizungumza Jumapili, Zelensky aliwasifu wanajeshi wa Ukraine kwa mafanikio yao katika mashambulizi dhidi ya eneo la Kursk, Urusi, akisema wamepata “mafanikio kiasi kizuri katika kuharibu vifaa vya Urusi.”…

Read More

KASEKENYA ARIDHISHWA NA UJENZI WA DARAJA LA ITEMBE

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya ameelezea kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa daraja la Itembe mkoani Simiyu na kusisitiza likamilike kabla ya msimu wa mvua kuanza. Daraja hilo lenye urefu wa mita 150 liko katika barabara ya Maswa-Meatu-Sibiti hadi Karatu inayounganisha kwa njia fupi mikoa ya Kanda ya ziwa na Kaskazini ambapo kukamilika…

Read More

Peter Mutharika kuwania urais Malawi 2025

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Malawi cha Democratic Progress jana Jumapili kimemuidhinisha Rais wa zamani taifa hilo, Peter Mutharika kuwa mgombea wake katika uchaguzi wa urais mwaka ujao. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mutharika mwenye umri wa miaka 84, ambaye alikuwa rais wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2014 hadi 2020, alisema katika hotuba…

Read More

Wafanyakazi 280 wa huduma za kiutu waliuawa 2023

Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinaadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) ilisema siku ya Jumatatu (Agosti 18) kwamba wafanyakazi 280 waliuawa kwenye mataifa 33 katika mwaka 2023. Hili ni ongezeko la asilimia 137 na zaidi ya mara mbili ya vile hali ilivyokuwa mwaka 2022, ambapo waliouawa walikuwa 118.  Kaimu Mratibu wa Huduma za Dharura wa Umoja…

Read More