‘Malaya’ amng’oa RPC Dodoma – Mwanahalisi Online

SAKATA la binti anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa na vijana watano, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini – IGP, Camilius Wambura kumhamisha Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, SACP Theopista Malya kwenda makao makuu ya polisi Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Malya ambaye nafasi yake imechukuliwa na SACP George…

Read More

STEVE NYERERE ATAKA HATUA KALI KWA WANAODHALILISHA WATOTO WA KIKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii maarufu Steven Nyerere ametoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika wa vitendo vya udhalilishaji kwa watoto wa kike, akisisitiza kuwa haki na utu wa binadamu lazima vilindwe kwa gharama yoyote. Kupitia ujumbe aliouandika, Steven Nyerere alieleza kutoridhishwa kwake na majibu mepesi yanayotolewa kuhusiana na matukio ya udhalilishaji wa watoto wa…

Read More

2023 Mwaka mbaya zaidi kwa Wafanyakazi wa Misaada– & 2024 Inaweza kuwa Mbaya Zaidi, Inatabiri UN – Masuala ya Ulimwenguni

Picha za uharibifu wa hospitali ya Al-Shifa huko Gaza kufuatia mzingiro wa Israel. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikariri kuwa hospitali lazima ziheshimiwe na kulindwa; lazima zisitumike kama viwanja vya vita. Credit: UN News na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumatatu, Agosti 19, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Agosti 19 (IPS) – Nyuma…

Read More

Waziri Gwajima atoa neno kauli ya RPC Dodoma binti aliyebakwa, kulawitiwa

Dar es Salaam. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka wananchi kuwa watulivu kuhusu mwenendo wa washtakiwa wa kesi ya ‘waliotumwa na afande’, huku akiahidi haki itatendeka. Agosti 4, 2024 ilisambaa video katika mitandao ya kijamii ikionyesha vijana watano wakidaiwa kumbaka na kumwingilia kinyume na maumbile binti…

Read More

Olimpiki: Tumevuna tulichopanda | Mwanaspoti

ACHA niwe mkweli tu kwamba tangu mwanzo niliamini binafsi timu yetu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya 33 ya Olimpiki huko Paris, Ufaransa iliyomalizika Jumapili ya wiki iliyopita ilikuwa dhaifu sana, kiasi haikuwa na uwezo wowote. Sio tu wa kushinda medali, bali hata ile chembe ya kutia kishindo cha maana kwenye michezo hiyo mikubwa kuliko yote…

Read More