Usalama wa watoto kwenye viwanja vya michezo

Katika viwanja vya michezo nchini, mchezo wa mpira wa miguu una nafasi ya pekee katika nyoyo za Watanzania. Wakati wa mechi kubwa, hususani zile zinazohusisha timu za Simba na Yanga, viwanja vya mpira hujaa maelfu ya mashabiki. Pamoja na shangwe na vigelegele vinavyosikika, kuna kundi moja linalokabiliwa na hatari nyingi zaidi, kundi la watoto.  Licha…

Read More

Hakuna Madini ya Tanzanite yatatoka mirerani bila kupitia Tanzanite exchange centre -Waziri Mavunde

Waziri wa madini Antony Mavunde amekanusha taarifa zilizokuwa zikisambaa zikidai kuwa jengo linalojengwa la billion tano halitatumika tena kufanya biashara ya madini ya Tanzanite pamoja na kuongeza thamani ya madini hayo huku akisema Rais ameongeza fedha ambazo zinaingia leo na litajengwa hadi kufikia asilimia 99 Mavunde akizungumza na wafanyabiashara wa madini,wachimbaji na wadau wengine wa…

Read More

Watoto walivyo hatarini kwenye viwanja vya soka

Katika viwanja vya michezo nchini, mchezo wa mpira wa miguu una nafasi ya pekee katika nyoyo za Watanzania. Wakati wa mechi kubwa, hususani zile zinazohusisha timu za Simba na Yanga, viwanja vya mpira hujaa maelfu ya mashabiki. Pamoja na shangwe na vigelegele vinavyosikika, kuna kundi moja linalokabiliwa na hatari nyingi zaidi, kundi la watoto.  Licha…

Read More

Meli mbili za Ufilipino na China zagongana

Dar es Salaam. Meli zinazopeperusha bendera za China na Ufilipino zimegongana leo Jumatatu, Agosti 19, 2024 karibu na mwamba unaogombaniwa katika Bahari ya Kusini ya China. Kulingana na vyombo vya habari vya Serikali ya Beijing, China inaishutumu Manila kwa kusababisha ajali hiyo kwa makusudi. Msemaji wa walinzi wa Pwani ya China, Gan Yu amesema:“Meli ya…

Read More