Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kufanyika Morogoro

Baraza la Michezo ya Majeshi hapa nchini (BAMMATA) limetangaza michezo hiyo kuanza kutimua vumbi Mkoani Morogoro kuanzia Septemba 6 hadi 15 mwaka huu ambapo mashindano ya michezo mbalimbali inatarajiwa kufanyika huku zaidi ya wanamichezo 1300 kutoka Kanda 8 za michezo hiyo hapa nchini wakibainisha kushiriki. Hayo yamebainishwa Mwenyekiti wa BAMMATA Brigedia Jenerali Said Hamis Said…

Read More

BENKI KUU YA LIBYA YASITISHA SHUGHULI ZAKE BAADA YA MKURUGENZI WA IDARA YA TEKNOLOJIA YA HABARI KUTEKWA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Benki Kuu ya Libya imetangaza kusitisha shughuli zake zote hadi pale Mkurugenzi wa Idara ya Teknolojia ya Habari wa benki hiyo, Musab Msallem, atakaporejeshwa salama baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana. Msallem alitekwa nyara siku ya Jumapili akiwa nyumbani kwake, tukio ambalo limezua wasiwasi mkubwa na kuhusishwa na tishio la usalama kwa wafanyakazi wengine…

Read More

Mahakama yamng’ang’ania aliyeachiwa huru akidaiwa kubaka, kumpa mimba mwanafunzi

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Songea, imebatilisha uamuzi uliomuachia huru Yassin Komba, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya ubakaji na kumpa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 16, aliyekuwa akisoma kidato cha kwanza Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma. Mahakama hiyo imeamuru shauri hilo la jinai namba 129/2021 likaendelee na utetezi mbele ya hakimu mwingine katika…

Read More

Aisha Mnunka sasa kuburuzwa TFF

MRATIBU wa Simba Queens, Selemani Makanya amesema viongozi wa timu hiyo iliyopo Ethiopia kushiriki fainali za michuano ya Klabu Bingwa kwa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kusaka tiketi ya kucheza Klabu Bingwa ya Afrika, wamejiandaa kumburuza straika, Aisha Mnunka kwa Shirikisho la Soka (TFF) kwa utoro. Mnunka anadaiwa hajaripoti hadi sasa katika klabu hiyo kama…

Read More

PSPTB YAFUNGA MAFUNZO YA TAFITI KWA WANAFUNZI WA BODI

Mkurugenzi wa Mafunzo wa Bodi ya wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) Amani Ngonyani amefunga Semina ya ‘Research Workshop’ iliyokuwa na lengo la kutoa mafunzo maalumu ya kuwandaa wanafunzi wa Bodi wanaotarajiwa kufanya tafiti kabla ya kuhitimu mafunzo kutoka bodi hiyo yaliyoanza  Agosti 12 hadi Agosti 16, 2024. Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo Mkurugenzi…

Read More

Madina awasha tena moto Uganda

MTANZANIA Madina Iddi anaendelea kuwanyanyasa Waganda baada ya kushinda tena mashindano ya wazi ya wanawake ya Uganda yaliyomalizika mwshoni mwa juma jijini Kampala. Ushindi huu unakuja takriban mwezi mmoja baada ya Madina kushinda mashindano ya wazi ya wanawake ya Zambia akiimshinda Mganda Peace Kabasweka kwa mikwaju 21. Ikumbukwe kuwa wakati Madina Iddi akimshinda Kabasweka nchini…

Read More