Tanzania Prisons yageukia straika haraka

ACHANA na matokeo ya pointi moja waliyovuna ugenini dhidi ya Pamba Jiji, benchi la Tanzania Prisons limesema linahitaji kuongeza makali eneo la ushambuliaji kabla ya higi haijachanganya. Prisons ilianzia ugenini kukipiga na Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu, ambapo mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, iliisha kwa suluhu ya bila kufungana….

Read More

Kipa KenGold mikwara mingi Bara

KIPA wa Ken Gold, Castory Mhagama amesema wanaoibeza timu hiyo kwa kutokuwa na wachezaji wengi wenye uzoefu, wasubiri kwani ligi ndio imeanza na matokeo yatazungumza. Mhagama anayecheza kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, amekuwa na rekodi ya kipekee baada ya kuipandisha timu hiyo ya mkoani Mbeya akiipa ubingwa wa Championship msimu uliopita. Kipa huyo ndiye…

Read More

Azam yapata ushindi mwembamba nyumbani

Azam FC imeanza vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua za awali baada ya kuichapa APR FC ya Rwanda bao 1-0 Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Timu mbili kutoka Tanzania Azam FC na Yanga zinawakilisha kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa baada ya kumaliza nafasi mbili za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

LUDEWA SIYO PANGO LA WEZI – DC LUDEWA

Na. Damian Kunambi, Njombe. Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amewataka viongozi wa ngazi zote Wilaya humo ikiwemo wakuu wa Idara kuhakikisha wanasimamia vyema fedha za miradi ya maendeo zinazoletwa na serikali katika maeneo yao na kuhakikisha fedha hizo zinaendana na ubora wa miradi hiyo. Mwanziva ametoa maagizo hayo wakati alitoa hotuba katika kikao…

Read More

Namna nilivyopata Mchumba wa kweli na kumuoa!

Vijana wengi huwa tunapitia changamoto mbalimbali katika kipindi cha kutafuta wenzi (mke au mume) maisha kutokea na baadhi ya wenzetu kutokuwa waaminifu. Jina langu ni Yohana kutokea Malindi, ni kijana wa miaka 29, katika maisha yangu ya kutafuta mke nimekutana na wanawake wengi wazuri ila walikuwa wanahitaji tu fedha zangu. Nilikuwa naweza kuwa na mahusiano…

Read More