Ceasiaa yaigomea Yanga Princess | Mwanaspoti

WAKATI Ceasiaa Queens ikitema na kuingiza nyota wapya 10 wakiwamo watano wa kimataifa, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga amethibitisha kugomea ofa aliyoletewa na Yanga Princess akidai haikumshawishi. Walioongezwa ni straika Tantine Mushiya (DR Congo), mabeki Lukiya Namubiru, Tukamuhebwa Recho na Dorcus Nabuufu na winga Halima Nanteze wote kutoka Uganda. Wengine walioongezwa ni wazawa…

Read More

Wafanyabiashara walalama kupigwa danadana maeneo yao ya biashara

Tabora. Baadhi ya wafanyabiashara wa mbogamboga wanaofanya shughuli zao kwenye soko la Machinga Tabora mjini, wamelalamikia ugawaji wa maeneo bila kufuata utaratibu  baada ya kufanyiwa maboresho. Wanadai maofisa kutoka halmashauri wameyagawa maeneo kwa watu ambao hawakuwepo kwenye mpango huo, huku wao kila siku wanaambiwa wasubiri.Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Agosti 18, 2024, Mwasi Juma anayefanya…

Read More

Fadlu aanza kwa kishindo, Simba ikikaa kileleni

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameanza kwa kishindo Ligi Kuu Bara baada ya kuiongoza timu hiyo kupata ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Tabora United katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam, Complex, jijini Dar es Salaam na kukwea hadi kileleni mwa msimamo ikiing’goa Singida Black Stars. Fadlu ni mara ya kwanza kufundisha…

Read More

Mapromota wafichua tatizo ngumi Mbeya

WADAU wa mchezo wa ngumi mkoani Mbeya wamesema mchezo huo unashindwa kupiga hatua kubwa kutokana na mabondia wa mikoani kutopewa nafasi kama ilivyo Dar es Salaam na hivyo kuwafanya wakali wengi wa mikoani kukimbilia jijini humo. Baadhi ya mabondia ambao awali walikuwa wakitamba kwa kutoa vichapo mkoani Mbeya kama Tony Rashid na Alfonce Mwambalange ‘Mchumiatumbo’…

Read More

OLIMPIKI 2024: Tumevuna tulichopanda | Mwanaspoti

ACHA niwe mkweli tu, tangu mwanzo binafsi niliamini timu yetu ya Tanzania iliyoshiriki Michezo ya 33 ya Olimpiki huko Paris, Ufaransa iliyomalizika Jumapili ya wiki iliyopita ilikuwa dhaifu sana, kiasi haikuwa na uwezo wowote. Sio tu wa kushinda medali, bali hata ile chembe ya kutia kishindo cha maana kwenye michezo hiyo mikubwa kuliko yote duniani….

Read More

NCAA yatoa neno maandamano ya wananchi Ngorongoro

Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), imesema shughuli za utalii katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro zinaendelea na kuwahakikishia usalama watalii waliopanga safari kwenda hifadhini humo. Hata hivyo taarifa hiyo imetolewa leo Jumapili Agosti 18, 2024 baada ya leo asubuhi kwenye mitandao ya kijamii, kuonekana picha mjongeo na picha mnato zikionyesha baadhi ya watu…

Read More

Yanga ilivyoonyesha ukubwa mbele Vital’O

YANGA imecheza dakika 90 za kwanza katika mechi ya awali ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Vital’O licha ya tambo na kejeli zilizotolewa mapema na Warundi waliodai Vijana wa Jangwani ni wadogo, hivyo watanywewa kama ‘supu’ mapema tu uwanjani. Hata hivyo, kile kilichoonekana kwenye…

Read More