Choo kigumu baada ya kujifungua, suluhisho lake

Dar es Salaam. Changamoto zinazoweza kutokea baada ya mama kujifungua, ni tatizo la kupata choo kigumu. Tatizo hili linaweza kuathiri hali ya faraja na afya yake lakini pia hali ya mtoto. Aidha, hali hii ya kupata choo kigumu inaweza kuathiri afya ya akili ya mama baada ya kujifungua lakini pia kuongeza maumivu kwa wale waliojifungua…

Read More

Machumu: Ukuaji MCL utategemea misingi yake kuendelezwa

Dar es Salaam. Ukiihesabu miaka minne kwa umri wa binadamu, basi ni mtoto anayemudu kutembea, anakimbia na sasa anatamka karibu kila neno. Hicho ndicho kipindi ambacho Bakari Machumu amehudumu nafasi ya mkurugenzi mtendaji katika miaka yake 20 aliyofanya kazi kwenye Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL). Machumu amekuwa kwenye nafasi hiyo ya juu tangu Aprili…

Read More

Picha: Muleba Festival kutokea Mkoani Kagera

Huu ni muendelezo wa report za Muleba Festival kutokea hapa Mkoani Kagera,na hii ni video ikiwaonyesha wasanii wengine kutoka Dar Es Salaam akiwemo Dullah Makabila,Chino wanaman,Missomisondo yaaani wazee wa Makoti na mkongwe Juma Nature ambao wamewasili Mkoani Kagera na kupitishwa katika viunga vya manispaa ya Bukoba ambapo wameshare love na mashabiki zao wa maeneo hayo…

Read More

WAZAZI WAONYWA KUTOWAZUIA WATOTO WA KIKE KUIJUNGA NA VYUO VYA UFUNDI STADI WAILAYANI SERENGETI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wazazi na walezi wilayani Serengeti wameaswa kuacha kuingiza tamaa ya mali na kuzuia watoto wa kike kujiunga na vyuo vya ufundi stadi kwa ajili ya kuwaandaa kuolewa. Onyo hili limetolewa na Mkurugenzi wa ‘World Changer Vision Tanzania’, Sulus Samweli, wakati wa mahafali ya saba ya chuo hicho. Katika hotuba yake, Sulus Samweli alibainisha kuwa bado…

Read More