Ni Mbowe au Lissu 2025 urais Chadema

Dar es Salaam. Joto la uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeanza kufukuta, huku likiibuka swali la nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu atapitishwa kuipeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi hiyo. Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, ameshaonyesha kusudio la kuwania wadhifa…

Read More

Arteta mataji yalimpita, pesa zikamfuata

LONDON, ENGLAND: WANASEMA hata bahati mbaya ni bahati. Kwa Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta kwa kukosa taji la Ligi Kuu England misimu miwili mfululizo hasa kutokana na kuwa na kikosi bora, ni bahati mbaya, lakini kwa upande mwingine ni bahati kwake. Arsenal ilishindwa kwa pointi mbili dhidi ya Manchester City na kuambulia nafasi ya pili…

Read More

Singida Black Stars yaanza na moto  Ligi Kuu Bara

Singida Black Stars imeanza kwa kishindo msimu mpya wa Ligi Kuu Bara baada ya kuikaribisha na kipigo kizito, KenGold iliyopanda daraja kwa kuinyuka mabao 3-1 katika pambano tamu lililopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa. KenGold iliyopanda daraja sambamba na Pamba Jiji kutoka Ligi ya Championship, ilikumbana na kipigo hicho licha ya kucheza kwa dakika…

Read More

Kilichoibeba Kriketi U19 | Mwanaspoti

MPANGO wa muda mrefu wa kuupeleka mchezo wa kriketi katika shule za msingi na sekondari nchi nzima ndiyo siri ya ushindi wa timu ya vijana wa chini ya miaka 19 katika michezo ya kufuzu Kombe la Kunia iliyomalizika jijini hivi karibuni. Tofauti na miaka ya nyuma, kriketi hivi sasa inachezwa na vijana wa shuleni karibu…

Read More

CRDB Bank Marathon ilivyonoga Dar

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ameipongeza taasisi ya CRDB Bank Foundation kwa kuendelea kuandaa mbio za CRDB Bank Marathon ambazo zimejielekeza katika kusaidia jitihada za serikali kuboresha sekta ya afya, kusaidia wenye uhitaji, pamoja na kukuza ustawi wa jamii. Biteko ametoa pongezi hizo wakati wa kilele cha msimu wa tano…

Read More