Hati za kimila mwarobaini migogoro ya ardhi Kigoma

Kigoma. Hati miliki za kimila 500 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Kigalye na Mwamgongo, vilivyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, hatuaΒ  iliyotajwa itapunguza migogoro ya ardhi hasa ya ngazi za familia. Wakizungumza leo Jumapili Agosti 18, 2024 katika Kijiji cha Mwamgongo baada ya kupokea hati hizo zilizotolewa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la…

Read More

Pamba Jiji yarudi Ligi Kuu na gundu

PAMBA Jiji juzi Ijumaa ilicheza kwa mara ya kwanza mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001 na kuishia kutoka suluhu na Tanzania Prisons, lakini sare hiyo huenda ikaigharimu timu hiyo kwa kupigwa faini auΒ  kunyang’anywa pointi kwa tuhuma za kudaiwa kuchezesha wachezaji wasiokuwa na leseni za uchezaji…

Read More

Ouma hajakata tamaa Coastal Union

LICHA ya Coastal Union kufumuliwa mabao 3-0 katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika na Bravos do Marquis ya Angola, kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya David Ouma amesema bado hajakata tamaa na matokeo hayo akijipanga kupindua meza mchezo wa marudiano. Coastal iliyorejea katika michuano ya kimataifa tangu mwaka…

Read More

Hawa hawafai kusimamia uchaguzi | Mwananchi

Dodoma. β€œJiandikishe piga kura Novemba 27, 2024.” Ni kauli muhimu kwa kila Mtanzania mwenye sifa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaowaweka madarakani viongozi wa mitaa, vitongoji na vijiji. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo zilizotangazwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa,…

Read More

Tabora United yamruka Yusuph Kitumbo

Siku moja baada yaΒ Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuipiga mkwara Tabora United kuwa itaichukulia hatua ya kinidhamu kwa kuendelea kufanya kazi na Yusuph Kitumbo aliyefungiwa maisha kujihusishwa na soka, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kumruka ukidai haumtambui kama kiongozi wa klabu hiyo. TFF janaΒ ilitoa onyo la mwisho kwa Tabora United ambayo jana ilikuwa uwanjani…

Read More

Chadema yamjibu Lissu hoja za Mchungaji Msigwa

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Makamu Mwenyekiti wake bara, Tundu Lissu juu ya msisitizo wake wa kutaka tuhuma zinazoibuliwa na aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa zijibiwe. Katika majibu yake juu ya hoja ya Lissu, chama hicho kimetoa sababu tatu zinazoakisi ukimya wa Chadema dhidi ya hoja za…

Read More

Azam hesabu kali uwanja wa nyumbani leo

Dar es Salaam. Mchezo dhidi ya APR nyumbani leo kwenye Uwanja wa Azam Complex kuanzia saa 12:00 jioni ni kipimo tosha cha utayari wa Azam FC katika harakati za kupigania ndoto iliyodumu kwa miaka 11. Tangu 2013 iliposhiriki kwa mara ya kwanza mashindano ya klabu Afrika ambapo ilicheza kwenye Kombe la Shirikisho Afrika hadi leo…

Read More