Mwenza wako unamuomba ruhusa au unampa taarifa?

Dar es Salaam. β€œNiliwahi kufungiwa nje na mume wangu, akitaka nirudi nilikotoka, ilikuwa ngumu kumshawishi, nilikuwa kwenye msiba tena wa ndugu yake, yaani shemeji yangu, kisa tu niliondoka nyumbani bila kumuaga,” anaanza kusimulia Penina John. Mama huyo wa mtoto mmoja wa miaka 12 na mumewe, Nelson Jumanne anasema siku hiyo alimpigia simu mumewe hakupokea, akalazimika…

Read More

Siku nyingine ya Simba kujiuliza

Makocha Fadlu Davids wa Simba na Francis Kimanzi wa Tabora United leo kila mmoja ataanza kuonja joto la Ligi Kuu Tanzania Bara wakati timu zao zitakapokutana kwenye Uwanja wa KMC, Mwenge, Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni. Wawili hao wote hii ni mara yao ya kwanza kufundisha ndani ya ardhi ya Tanzania baada ya…

Read More

TLS yaanza kuwashughulikia mawakili vishoka, hofu yatanda

Dar es Salaam. Kukithiri kwa vitendo vya mawakili β€˜vishoka’ kumekiibua Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kutangaza mkakati wa kuwashughulikia kwa kuunda kamati ya kitaifa inayolenga kuimarisha ubora wa huduma za uwakili nchini. Mbali na kamati ya kitaifa, kila mkoa utakuwa na kamati yake kwa ajili ya kushughulikia suala hilo. Kamati hizo za kushughulikia mawakili vishoka…

Read More

MAGWIJI WA TIBA RADIOLOJIA DUNIANI WAKUTANA MUHIMBILI KUJADILI MBINU ZA KUONGEZA WIGO WA HUDUMA HIYO NCHINI

Magwiji wa tiba radiolojia duniani ambao hutumia vifaa kama vile CT-Scan, MRI, Xray, Angiography system, Utrasound n.k kufanya uchunguzi na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia matundu madogo, mapema wiki hii wamekutana Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kutathmini hali ya utoaji huduma hiyo nchini na kujadili mbinu za kuongeza wigo wa huduma hiyo kuanzia ngazi ya hospitali…

Read More

WAKALA WA VIPIMO ZANZIBAR WAJIFUNZA KUTOKA WMA BARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai (mwenye fulana nyeusi-kushoto), akiwa katika ziara ya mafunzo Bandari ya Mtwara. Agosti 17, 2024 kujionea na kujifunza namna majukumu yanayotekelezwa na Wakala wa Vipimo Tanzania Bara (WMA) katika sekta mbalimbali. Na.Veronica Simba – WMA Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Vipimo Zanzibar (ZAWEMA) Mohammed Simai amefanya…

Read More

Usitafute kuoa au kuolewa na mtakatifu

Tuanze mjadala huu na kisa cha unyenyekevu na uelevu. Siku moja, nchini Marekani, mwandishi mmoja alimsifia Nelson Mandela akimhoji. Alimwambia kuwa alikuwa mtakatifu. Mandela alimkatiza hata kabla ya kumaliza na kusema β€œmie si mtakatifu, vinginevyo unamwongelea mtakatifu mwenye dhambi anayehangaishwa na dhambi zake.” Hakuna mwanandoa mtakatifu wala shetani, bali binadamu mwenye kila udhaifu. Hatumaanishi kuwa…

Read More

KMC yaikamua Simba Sh100 Milioni

WALIOSEMA hakuna mkate mgumu mbele ya chai wala hakukosea, kwani baada ya mikwara mingi ya kudai kumzuia kiungo mshambuliaji Awesu Awesu kutoenda kokote, KMC imemuachia nyota huyo, lakini ikivuna Sh100 milioni kutoka Simba iliyombeba. Awali, KMC iliigomea Simba iliyomsajili Awesu na kumpeleka kambini Ismailia, Misri kabla kukimbilia Kamati ya Sheria na Hadhi la Wachezaji ya…

Read More

Unafanya nini kumfundisha mtoto wako kuwa mkweli?

Fikiria uko jikoni ukiandaa chakula cha jioni. Watoto wako wawili wadogo Fred na Linda wanacheza sebuleni. Salome yuko mezani akifanya kazi za shule. Mara unasikia mlio wa kitu kuvunjika sebuleni. Unapatwa na wasiwasi. Unakwenda haraka kujua kilichotokea. Maji yanatiririka sakafuni. Chupa ya chai imedondoka na kupasuka. Unakasirika. Fred, mwanao mdogo, haonekani kuwa na wasiwasi. Haraka…

Read More