ONGEA NA AUNT BETTIE: Mdogo wangu anamsalandia mke wangu

Habari Aunt, naomba ushauri, mdogo wangu anaonekana wazi kumtaka shemeji yake (mke wangu). Nimesema hivyo kwa sababu naona utani usiokuwa na mipaka umezidi. Nashindwa kumkanya kwa sababu ni mdogo kwangu kiumri. Nifanyeje? …..Unanishangaza, unashindwa kumkanya mdogo wako utamkanya nani tena! Kwanza kabisa unapo pa kuanzia, anza kumkanya mkeo asikubali utani uliopitiliza na shemeji yake, kwa…

Read More

Lissu asisitiza msimamo wa kumjibu Msigwa

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu amesisitiza msimamo wake wa kutaka kujibiwa kwa hoja za aliyekuwa mwanachama wa chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa ambaye sasa amejiunga na CCM. Sambamba na hilo, amesisitiza pia msimamo wake wa kuondoka ndani ya Chadema iwapo kitakwenda kinyume na sababu zilizomfanya ajiunge nacho akisema, “Chadema sio…

Read More

TANZANIA YAKABIDHIWA UENYEKITI WA SADC ORGAN TROIKA

Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Mkutano wao Kawaida wa 44 uliofanyika tarehe 17 Agosti, 2024 Harare, Zimbabwe. Mkutano wa Kawaida wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) leo tarehe 17 Agosti,…

Read More

ZIARA WAZIRI MAVUNDE YALETA FARAJA KWA WACHIMBAJI WADOGO WA LEMISHUKO,SIMANJIRO- MANYARA

●Eneo la Lemishuko kurushwa ndege nyuki ya Utafiti ●Serikali kutatua changamoto ya Maji,Umeme,Barabara na Zahanati ●Aongoza Harambee ya ujenzi wa Zahanati Lemishuku ●Jengo la Kituo cha ununuzi wa Madini kukamilika Desemba,2024 ●Wachimbaji wamshukuru Rais Samia kwa kufungua sekta ya madini SIMANJIRO,MANYARA WAZIRI wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amefanya ziara kukagua shughuli za uchimbaji madini na…

Read More

Askofu KKKT ashinda rufaa kesi madai ya kashfa

Iringa. Askofu mstaafu wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambele Mwaipopo, ameshinda rufaa ya madai ya Sh250 milioni, iliyofunguliwa na mwanazuoni Dk Stephen Kimondo. Hii ni baada ya Jaji Dunstan Ndunguru wa Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, kuitupa rufaa hiyo namba 9253 ya mwaka 2024 iliyofunguliwa na Dk…

Read More

Azam FC, JKU kanyaga twende kimataifa

AZAM FC kutoka Bara na JKU ya Zanzibar zitakuwa na jukumu zito leo kuiwakilisha nchi Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali kwenye viwanja mbalimbali. Azam iliyomaliza ya pili katika Ligi Kuu Bara itakuwa katika Uwanja wa Azam Complex kucheza na APR ya Rwanda kuanzia saa 12:00 jioni, huku JKU ikiikaribisha Pyramids ya Misri dimba…

Read More