Rais Samia ashika usukani asasi ya ulinzi, usalama SADC

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anachukua nafasi kutoka kwa Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema aliyemaliza muda wake. Asasi hiyo ni chombo ndani ya SADC kinacholenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi wanachama…

Read More

Matatizo Ya Mikataba Ya Wachezaji

MWAKA 2000, Yanga ilimsajili kijana wa kidato cha pili shule ya sekondari Makongo, aliyekuwa akiichezea Kagera Stars (sasa Kagera Sugar), aliyeitwa Ephraim Makoye. Baadaye ikabainika kuwa kijana huyo pia alisajiliwa na Simba, hivyo kuzua utata mkubwa. Wakati huo mambo ya mikataba ya wachezaji na klabu hayakuwapo na wala chama cha soka (FAT) hakikuyatambua kabisa. Kilichofanyika…

Read More

Je, unawaza kuwa milionea? beti na Meridianbet leo

  Ligi mbalimbali Duniani kote zimerejea na Jumamosi ya leo, kuna maokoto mengi ndani ya Meridianbet. Suka mkeka wako leo na uanze kutengeneza mkwanja wa maana. Tukianza na EPL leo mapema kabisa Liverpool watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Ipswich Town ambao wametoka kupanda daraja msimu huu. Jogoo amepata kocha mpya sasa Arne Slot ambaye amekuwa…

Read More

NIPE, NIKUPE! Dili za kubadilishana wachezaji zilizokuwa gumzo Ulaya

LONDON, ENGLAND: LISEMWALO ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kutokea dili kubwa la kubadilishana wachezaji, litakalomshuhudia straika Romelu Lukaku akienda Napoli na mwenzake, Victor Osimhen akitua Chelsea. Bila shaka ni dili linalosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka wa huko Ulaya. Kinachoelezwa ni kwamba, Chelsea inahitaji huduma ya straika mpya kwenye kikosi chao na wanamtazama…

Read More

Pikipiki kutumika kufuatilia maeneo yenye matishio kiafya

Dodoma. Maofisa 12 wa vituo vya ufuatiliaji wa magonjwa kwenye Mfumo wa Ufuatiliaji na Majibu ya Magonjwa (IDSR) wamepatiwa pikipiki. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kulinda jamii zinazoishi katika maeneo ambayo magari hayawezi kufika dhidi ya matishio ya kiafya. Mfumo wa IDSR unahusisha usimamizi wa taarifa kwa kutambua, kutoa taarifa, kupanga vipaumbele na kuthibitisha iwapo tukio…

Read More

Unstoppable Yanga, Chama aanza kazi

YANGA imeendelea kuwapa raha mashabiki wake baada ya kuanza vyema michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa ushindi mabao 4-0 dhidi ya Vital’O ya Burundi. Katika mchezo huo wa awali uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar as Salaam, Yanga ilipata bao la kwanza dakika ya tano lililofungwa Na nyota mshambuliaji Mzimbabwe, Prince…

Read More

Makonda aonya rushwa miradi ya maji

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amewaonya wataalamu na watendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA) na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa), wenye tabia ya kuchukua rushwa kwa baadhi ya makandarasi na kusababisha miradi kutekelezwa chini ya kiwango. Makonda amesema mkoa utakutana na Naibu Waziri…

Read More

Kisaka  ala shavu  Alliance | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza kozi ya Leseni ya Diploma A ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Kocha Ally Kisaka amelamba shavu kwa kuongezewa mkataba wa mwaka mmoja na Alliance FC ya jijini hapa inayoshiriki First League. Mzanzibari huyo aliyewahi kuzinoa Geita Gold, Pamba na Stand United aliisaidia Alliance FC kubaki kwenye ligi hiyo msimu uliopita baada…

Read More

Laki moja yakwamisha Ligi ya Kikapu Kigoma

LICHA ya mipango mizuri ya kutaka kuona Ligi ya Kikapu Mkoa wa Kigoma inaanza na kumalizika mapema, mambo yameenda sivyo kutokana na klabu shiriki kushindwa kukamilisha utaratibu wa kujisajili ikiwemo kulipa ada ya Sh100,000. Ligi hiyo ilipangwa kuanza Agosti 8, lakini hadi sasa imeshindwa kuchezwa na uongozi wa kikapu mkoani humo umeeleza sababu, japo unapambana…

Read More

RC Mara ang’aka kutelekezwa bweni la Sh78 milioni

Serengeti. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi ameeleza kukerwa na kitendo cha Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kutelekeza jengo la bweni lililogharimu zaidi ya Sh78 milioni  bila kulikamilisha kwa takriban miaka saba. Jengo hilo lilianza kujengwa mwaka 2017 katika Shule ya Sekondari Ngoreme wilayani Serengeti kwa nguvu za wananchi pamoja na wanafunzi waliowahi kusoma…

Read More