Kazi imeanza Kizimkazi Festival | Mwanaspoti
NI michezo, burudani, uchumi na fursa mbalimbali za kijamii katika tamasha la nne la Kizimkazi linalofunguliwa leo Jumapili na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi huko Kizimkazi mkoa wa Kusini Unguja. Tamasha hilo linatajwa kufungua fursa mbalimbali za kijamii, kimichezo na kiuchumi. Katibu wa Kamati Kuu ya tamasha hilo lenye kauli…