Huu ndio umuhimu, faida za kuchagua viongozi wa mitaa

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, juzi alizindua kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa na kutangaza siku ya kupiga kura. Katika uzinduzi huo, aliwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi huo kwa kuchagua viongozi wa mitaa, vijiji na vitongoji. Waziri Mchengerwa alisisitiza…

Read More

KAMATI YAPONGEZA WIZARA KATIKA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO.

Na WMJJWM-Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Maendeleo na Ustawi wa Jamii imeipongeza Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kuweka Mpango mkakati wa kuwalinda watoto Kisheria dhidi ya mabadiliko yanayotokana na sayansi na Teknolojia duniani. Hayo yamebainika wakati Wizara ikiwasilishaji maelezo kuhusu marekebisho ya Sheria zinazuhusu ulinzi…

Read More

Israel yaamuru watu waondoke Maghazi

Gaza. Israel imetoa amri nyingine ya kuwataka wakazi wa Maghazi kuhama maeneo yao, wakati huu ikilenga vitongoji vya kambi ya wakimbizi ya Maghazi katikati mwa Gaza. Msemaji wa Israel, Avichay Adraee, alitoa tangazo hilo kupitia chapisho kwenye mitandao ya kijamii, akiorodhesha maeneo ya Maghazi na vitongoji kadhaa vya kusini mwa Gaza, ambavyo wakazi wanapaswa kuondoka….

Read More

TIC YATOA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA RUVUMA

      Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa semina elekezi kwa wafanyabiashara,wajasirimali na wawekezaji wa Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika Katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania tawi la Songea. Semina hiyo imelenga kuwahamasisha wawekezaji kusajili biashara zao sambamba na kufahamu fursa mbalimbali za uwekezaji zilizopo ndani ya Mkoa wa Ruvuma na nchini kwa…

Read More

Habari ya mjini ni kucheza kasino, pesa nje nje

  SAFIRIA ndoto ya maisha yako kwa kucheza kasino ya mtandaoni, pale Meridianbet kuna promosheni ya Expanse ambayo inatoa mamilioni kwa washindi. Jisajili sasa upate bonasi ya ukaribisho ya Tsh 3,000,000/= Kupitia shindano la Mamilioni la Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo…

Read More

DKT MWASE – AHIMIZA UPANDAJI WA MITI NA KUISIMAMIA KATIKA UKUAJI WAKE MPAKA IWE MIKUBWA

Mkurugenzi wa wa Shirika la Taifa la Madini Tanzania (STAMICO) Dkt Venance Mwase akipanda miti katika eneo la Amboni Jijini Tanga lililoratibiwa na Wanawake na Samia Mkoa wa Tanga lililokwenda sambamba na kutambulisha Nishati Safi mbadala ya  Rafiki Briquettes.   Mkurugenzi wa wa Shirika la Taifa la Madini Tanzania (STAMICO) Dkt Venance Mwase akipanda miti katika eneo…

Read More

DKT. MWAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA TAASISI YA BWB YA UINGEREZA

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Bankers Without Boundaries (BWB) kutoka Uingereza, Bw. Chris Smith, ambapo wamejadili masuala ya ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali zikiwemo Afya, elimu, Uchumi na maendeleo ya kijamii.   Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika…

Read More

NDIO IPO KIZIMKAZI HALAFU KUNA KIZIMKAZI YA SAMIA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Kizimkazi NIMETAMANI kukaa kimya lakini nimeshindwa acha nisime japo kidogo angalau moyo uwe huru. Nafahamu kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu lakini chakushangaza moyo wangu eti umeamua kujipa na jukumu la kuhifadhi mambo na matukio. Nisipokuwa makini moyo utaanza kujihusisha na mambo ambayo sio ya kwake.Ni bora niseme moyo uwe…

Read More