FAMILIA YA MCHEZAJI ALIYEFARIKI URUGUAY KULIPWA MSHAHARA HADI MWAKA 2032 – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Rais wa klabu ya Nacional ya Uruguay, Alejandro Gaston Balbi Della Valle ametangaza kuwa familia ya mchezaji Juan Izquierdo ambaye amefariki siku kadhaa zilizopita, itapokea mshahara wa mchezaji huyo hadi mkataba wake utakapokamilika mwaka 2032.         Nacional itaendelea kulipa stahiki zote alizokuwa anatakiwa apewe mchezaji kama muajiriwa wa klabu hiyo,…

Read More

SPIKA WA BUNGE AOMBWA KUTOZUIA MIJADALA KUHUSU WATU KUTEKWA NA KUTOWEKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha “Jana na Leo” kinachorushwa na Wasafi FM, Edo Kumwembe, ametoa wito kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, kuacha kuzuia mijadala inayohusiana na watu kutoweka na kutekwa nchini. Akizungumza katika kipindi hicho Alhamisi ya Agosti 29, 2024, Kumwembe alisema, “Spika Tulia (Dkt. Tulia Ackson)…

Read More

Mkurugenzi mkuu TRC atembelea majeruhi wa ajali ya treni Kigoma

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la reli nchini (TRC) Masanja Kadogosa  ametembelea majeruhi wa  ajali ya treni mkoani Kigoma na kutangaza kuwa serikali  itagharamia matibabu ya abiria 73 waliojeruhiwa katika ajali ya treni ya abiria iliyoanguka eneo la Lugufu wilaya ya Uvinza usiku wa kuamkia Agosti 28 mwaka huu. Kadogosa amesema  hayo  alipowatembelea majeruhi katika hospitali…

Read More

Hatari za kiafya kulala muda mfupi baada ya kula

Dar es Salaam. Katika maisha ya sasa, watu wengi wana ratiba zilizojaa shughuli nyingi, kiasi kwamba mara nyingi shughuli hizo huwa chanzo cha kurejea nyumbani usiku na kulala muda mfupi baada ya kula chakula. Hilo linaweza kuonekana kama jambo la kawaida, lakini ni muhimu kuelewa athari zinazoweza kutokea endapo utalala muda mfupi baada ya kula…

Read More

Dalili za Maendeleo juu ya Marekebisho ya Hali ya Hewa yenye Amani – Masuala ya Ulimwenguni

Mikopo: Adobe Stock Maoni na Ann-Sophie Bohle (Stockholm, sweden) Alhamisi, Agosti 29, 2024 Inter Press Service STOCKHOLM, Uswidi, Agosti 29 (IPS) – Madhara ya mabadiliko ya hali ya hewa hayana uwiano kuathiri mipangilio dhaifu na iliyoathiriwa na migogoro (FCS). Mishtuko ya hali ya hewa inaweza kuzidisha hatari za usalama katika FCS, migogoro na ukosefu wa…

Read More

MAMBO AMBAYO YATAKUFANYA UWEZE KUFANIKIWA KIBIASHARA

Jina langu ni Abeli kutokea Arusha nchini Tanzania, baada ya kufanya vibarua kwa miaka mingi kwenye viwanda vya Wahindi nilichoka na kuamua nianze mpango wa kujiari maana ndipo nasikia kuna faida na watu wengi wameweza kutoka kimaisha. Na ili kufikia lengo langu hilo nilianza kutunza fedha zangu nilizopata kila mwisho wa mwezi ingawa ilikuwa kwa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: David Ouma hatimaye kimemkuta Coastal

WIKI kadhaa zilizopita niliandika hapa kuwa kuna mpango wa Coastal Union kuachana na kocha David Ouma kutoka Kenya kwa kile kilichotajwa kuwa uongozi hauridhishwi na namna anavyolisimamia benchi la ufundi la timu hiyo. Na katika hilo andiko nilishauri Coastal isifanye hivyo kwa kocha huyo kwa vile ingejiweka katika uwezekano wa kutofanya vizuri kwenye Kombe la…

Read More