ZAMBIA YAIHAKIKISHIA TANZANIA USHIRIKIANO KATIKA UONGOZI WA SADC ORGAN TROIKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Jamhuri ya Zambia, Hakainde Hichilema ameihakikishia ushirikiano Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati huu inapotarajia kukabidhiwa jukumu la uenyekiti wa Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC (SADC Organ on Politics, Defence and Security), nakuhaidi kutimiza majukumu yake kama Mwenyekiti anayemaliza muda wake kwa kipindi cha 2023/2024. Kadhalika, ameshukuru kwa…

Read More

VIKAO VYA CHAMA RUDISHENI WAGOMBEA WANAOUZIKA KWA WANANCHI

NA WILLIUM PAUL, SAME. MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa ya Chama cha Mapinduzi (MCC) Fadhili Maganya amevitaka vikao vya Chama ngazi ya kata, wilaya na mkoa kukirahisishia chama hicho kwa kuwaleta wagombea wanaouzika kwa Wananchi. Maganya alitoa kauli hiyo jana wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya Ndungu wilayani Same mkoani Kilimanjaro…

Read More

ANNE KILANGO TUTAKULINDA WEWE PAMOJA NA JIMBO LAKO-MAGANYA

SAME.  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa kupitia chama cha Mapinduzi (MCC) Fadhili Maganya amesema kuwa wataendelea kutekeleza agizo la chama la kuyalinda majimbo yote kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025. Maganya ametoa kauli hiyo leo katika mkutano wa wanachama wa ccm Tarafa ya Ndungu Jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro ambapo amesema kuwa…

Read More

Uganda yawarejesha polisi wa Kongo waliokimbia mapigano – DW – 16.08.2024

Taarifa yake imesema baada ya kuthibitisha vitambulisho vya uraia, maafisa hao wa polisi waliruhusiwa kuingia Uganda kama kitendo cha kiutu na kulingana na sheria ya kimataifa. Msemaji wa jeshi la Uganda Meja Kiconco Tabaro amesema maafisa hao walirejeshwa pamoja na silaha zao na kuongeza kuwa wakimbizi walikuwa wakiendelea kuingia kupitia mpaka wa Uganda wakikimbia machafuko…

Read More