EWURA YATETA NA MAJAJI,MAHAKIMU KUHUSU UDHIBITI

    Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa EWURA, Titus Kaguo akitoa elimu kwa waheshimiwa na mahakimu wa Mahakama ya Tanzania, katika semina iliyofanyika Kituo Jumuishi cha Haki Jinai, jijini Dodoma. ……… Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, 16/8/24 imekutana na majaji na mahakimu wafawidhi 50, katika semina ya kujenga uelewa…

Read More

Watumishi 19 kortini kwa tuhuma za rushwa

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mwanza imewaburuza kortini watumishi 19 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa katika halmashauri za mkoa huo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa, Agosti 16, 2024 na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, James Ruge alipokuwa akitoa taarifa ya utendaji kazi ya taasisi hiyo katika kipindi…

Read More

MAJALIWA: TANZANIA IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA CUBA KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA CHANJO

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania iko tayari kushirikiana na Serikali ya Cuba kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha chanjo mbalimbali ikiwemo chanjo ya homa ya ini. Amesema viwanda vya dawa nchini Cuba vikiwemo vinavyotengeneza dawa zinazotokana na mimea tiba vimeiwezesha nchi hiyo kupunguza utegemezi wa kuagiza dawa kutoka nje ya nchi hiyo kwa…

Read More

Jinsi Sekta ya Kibinafsi Inaweza Kuunda Ajira na Kuendeleza Maendeleo katika Afrika Magharibi na Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Wafanyakazi wa kiwanda hufungasha bidhaa huko Accra, Ghana. Credit: Nyani Quarmyne (Panos)/IFC Maoni by Abebe Adugna (washington dc) Ijumaa, Agosti 16, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Agosti 16 (IPS) – Kila mwaka Afrika Magharibi na Kativijana milioni 6 wanaingia kwenye nguvu kazi, huku ajira mpya zipatazo nusu milioni pekee ndizo zinazozalishwa. Upungufu huu mkubwa…

Read More

RC Chalamila aipongeza TPDC kuwajengea uwezo Viongozi wa Dini na Madiwani kuhusu ulinzi wa miundombinu ya gesi

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amepongeza Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kutoa elimu na kuwajengea uwezo viongozi wa dini na madiwani ili kuwa mabalozi wazuri kwa wananchi kuhusu utunzaji wa miundombinu ya shirika hilo. Akizungumza leo Agosti 15, 2024, jijini Dar es Salaam…

Read More