47 CCM wautaka ubunge wa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Wagombea 47 kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuwania nafasi moja ya ubunge katika Bunge la Afrika Mashariki. Uchaguzi huo unafanyika kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa Bunge hilo katika kundi la wanawake kupitia CCM, Dk. Shongo Sedoyeka, kilichotokea Juni 13, 2024. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatakiwa kufanya uchaguzi…

Read More

Mahakama yaombwa kuruhusu ushahidi kesi ya kujeruhi, lugha chafu

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha chafu inayowakabili wanandoa, Bhartat Natwan (57) na Sangita Bharat (54), upande wa utetezi kupitia Wakili Edward Chuwa umeomba mahakama kuruhusu kuoneshwa kipande cha video kinachoonyesha mlalamikaji, Kiran Ratilal, akitumbukizwa kwenye ndoo ya saruji. Maombi hayo yaliwasilishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron…

Read More

Waungana kupinga mabadiliko kifungu cha rushwa ya ngono

Dar es Salaam. Mtandao wa Viongozi Wanawake Vijana umeungana na Mtandao wa Kupinga Rushwa ya Ngono Tanzania kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na vyombo vinavyohusika na mabadiliko ya sheria, ikiwemo Bunge, kuondoa kifungu cha 10(b) cha mapendekezo ya kuzuia na kupambana na rushwa ya ngono kinadaiwa kumhukumu mtu aliyetendewa udhalilishaji huo kwa kigezo cha…

Read More

Kampuni ya CCCC yanadi fursa kwa wanafunzi DIT

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya Serikali ya China (CCCC) imewahamasisha wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kuchangamkia fursa za ajira katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na kampuni hiyo nchini. Akizungumza Agosti 14,2024 na wanafunzi wa fani ya uhandisi, sayansi na teknolojia ambao wanatarajia kumaliza masomo yao baadaye…

Read More

TIC kuvutia uwekezaji mikoa ya kusini

Dar es Salaam. Kampeni maalumu ya kuvutia wawekezaji mikoa ya kusini imeanza kufanyika wakati ambao tafiti zinaonyesha kuwapo kwa uwekezaji hafifu unaofanywa katika maeneo hayo. Lengo la kampeni hiyo ni kuzitangaza fursa zinazoweza kutumiwa na wawekezaji wa ndani na nje ya nchi zinazoweza kugusa maisha ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Kampeni hii…

Read More

TARURA WAAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO MTAA WA FILBERT BAYI

Felix Swai  aliyenyoosha mkono akifafanua  jambo. Mama Joseline  Emmanuel  mkaazi wa eneo hilo la Muharakani Mzee Mohammed Lukemo (83) ambaye ni mkazi wa eneo hilo la Muharakani tangu mwaka 1964. Bibi Paulina  Mayunga (83) mkazi wa mtaa wa Muharakani. Mwenyekiti wa Mtaa wa Muharakani Mohammed Ally Mohammed Mkazi wa eneo  la Muharakani Moses  Sawe akizungumza …

Read More

WATU SABA MIAKA 30 JELA NA WENGINE KIFUNGO CHA MAISHA KWA MAKOSA YA KUBAKA NA KULAWITI MKOANI PWANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    KATIKA kipindi cha Julai hadi agost 2024 watuhumiwa saba katika mkoa wa Pwani, wamehukumiwa miaka 30 jela na wengine kufungwa maisha kwa makosa ya kulawiti, kubaka na kuzini . Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo alieleza, wale wote wanaojihusisha na vitendo hivyo watakamatwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria. Alitaja kati…

Read More

Changamoto uchakataji mkonge kupatiwa ufumbuzi

Na Mwandishi Wetu, Tanga Changamoto za uhaba wa mashine za kuchakata Mkonge (korona) zinazowakabili wakulima katika maeneo yao zinatarajiwa kuwa historia na kuchochea ongezeko la uzalishaji wa zao hilo. Hatua hiyo inafuatia baada Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) kufanya ziara kutembelea miradi mbalimbali yakiwamo mashamba ya Vyama vya Ushirika…

Read More

Takukuru yaiamsha TRC | Mwananchi

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kubaini udanganyifu katika ulipaji nauli kwa safari za treni ya kisasa ya umeme (SGR), Shirika la Reli Tanzania (TRC), limesema limewakamata watu wanaolihujumu. Akizungumza na waandishi wa habari Agosti 15, 2024, Naibu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Morogoro, Christopher Mwakajinga,…

Read More

MASHETANI WEKUNDU UWANJANI LEO KUIFUNGUA EPL

KLABU ya Manchester United leo itashuka dimbani kuikaribisha klabu ya Fulham katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu ya Uingereza ambao utachezwa katika dimba la Old Trafford. Ni msimu mwingine wa kujiuliza kwa klabu ya Manchester United juu ya ubingwa wa ligi ya Uingereza ambao mabingwa hao mara (20) wa ligi hiyo wameukosa kwa takribani miaka kumi…

Read More