Messi alamba Bilioni, Mazembe yakwaa kisiki mahakamani

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imelikataa ombi la timu ya Tout Puissant Mazembe Englebert Sarl (TP Mazembe) ya Democratic Republic of Congo (DRC) ya kutaka itoe amri ya kuzuia zaidi ya Sh1.5 bilioni za mchezaji wa kimataifa wa Tanzania. Uamuzi huo ulitolewa Agosti 16,2024 na Jaji Arnold Kirekiano, alisema kutolewa kwa amri ya kuzuia fedha…

Read More

Changamoto uchakataji Mkonge kupatiwa ufumbuzi-Bodi ya Mkonge

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mkonge Theobald Bad akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mkonge (TSB) Saddy Kambona wakati Bodi hiyo ilipotembelea Wakulima wa Mkonge mkoani Tanga. Na Mwandishi Wetu CHANGAMOTO ya uhaba wa mashine za kuchakata Mkonge (korona) inayowakabili wakulima katika maeneo yao inatarajiwa kuwa historia hatua itakayochochea ongezeko la uzalishaji wa…

Read More

Manchester United kuifungua EPL leo

  KLABU ya Manchester United itafungua msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza leo ambapo wataikaribisha klabu ya Fulham katika dimba la Old Trafford katika mchezo wa kwanza wa ligi hiyo pendwa zaidi duniani. Baada ya kua na msimu ambao sio wa kuvutia kwa klabu hiyo msimu huu wanaonekana kuhitaji kurekebisha makosa ambayo waliyafanya msimu…

Read More

BADILISHA MAISHA YAKO| CHEZA EXPANSE KASINO TOURNAMENT

  UNATAKA kubadili maisha yako? Hujui pa kupita au kufanya, sikia kuna shindano moja la Expanse, ni michezo ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa Mamilioni kibao. Bila kusahau bonasi ya ukaribisho hadi 3,000,000/= Jisajili na Meridianbet sasa upate utajiri. Kupitia shindano la Mamilioni la Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna…

Read More

Sababu Onyango kutotangazwa Dodoma Jiji

IMEELEZWA kwamba sababu ya uongozi wa Dodoma Jiji  kuchelewa kumtangaza beki Joash Onyango ni kutaka mchezaji huyo amalizane kabisa na Singida Black Stars aliyoichezea msimu uliopita. Onyango bado ana mkataba na Singida Black Stars, hivyo Dodoma Jiji inataka imchukue kama mchezaji huru na siyo kucheza kwa mkopo kama ilivyokuwa awali. Ofisa Habari wa Dodoma Jiji,…

Read More

Kesi ya dada wa kazi: Mdhamini ayatimba, aswekwa mahabusu

Dar es Salaam. Mahakamani hakujawahi kuisha vituko, ndivyo unavyoweza kusema. Basi sikia kisa hiki ambacho kimefanya watu waliokuwa ndani ya ukumbi namba mbili wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, kucheka na wengine kuduwaa. Hii ilikuwa baada ya mmoja wa wadhamini aliyefika katika mahakama kumwekea dhamana mshtakiwa aliyedai ni mtoto wa dada yake, kuzua sitofahamu wakati…

Read More

IGP WAMBURA ASISITIZA WELEDI NA KUTENDA HAKI

   Matukio mbalimbali Pichani yakimuonesha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akikagua gwaride na baadae akizungumza na maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Mkoa wa Kilimanjaro Agosti 16,2024 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi mkoani humo. IGP Wambura amewataka maofisa, wakaguzi na askari kuendelea kutekeleza majukumu yao ya…

Read More