Simba, Yanga kuoga manoti CAF

Dar es Salaam. Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) limetangaza kutoa kiasi cha Dola 50,000 kwa kila timu inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia msimu huu. Uamuzi huo unalenga kuzisaidia timu ziweze kumudu mechi za raundi mbili za awali za mashindano hayo kabla ya ile ya makundi. Taarifa iliyotolewa…

Read More

LUMINOUS POWER TECHNOLOGIES, SWAMINATH TRADING KULETA UFUMBUZI WA KUDUMU WA NISHATI NCHINI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KAMPUNI ya Luminous Power Technologies imeingia makubaliano ya kimkakati na Kampuni ya Swaminath Trading ili kuleta bidhaa mbalimbali vitakavyosaidia kuleta ufumbuzi wa kudumu wa upatikanaji wa Nishati nchini Tanzania.  Swaminath Trading ni mwagizaji na msambazaji wa bidhaa bora za vifaa vya umeme jua na na vifaa vya kilimo kote Afrika…

Read More

Pamba Jiji, Tanzania Prisons hakuna mbabe

Mwanza. Pamba Jiji na Tanzania Prisons zimeshindwa kufungana katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Ijumaa Agosti 16, 2024 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Mchezo huo ulikuwa wa kwanza kwa Pamba Jiji ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani miaka 23. Mashabiki wa soka jijini Mwanza wamepata…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA SALA YA MAZISHI MSIKITI WA KWABOBO KIDONGOCHEKUNDU ZANZIBAR

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj .Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Familia na Waumini wa Dini ya Kiislam katika Sala ya Maiti, ya marehemu Sheikh Yussuf Mohammed aliyekuwa Imamu Mkuu wa Msikiti wa Kwaboko Wilaya ya Mjini Unguja, ikiongozwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi,iliyofanyika leo 16-8-2024 baada ya…

Read More

Virusi Mpox vinavyoenea kwa ngono vyashtua

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuenea kwa aina mpya ya virusi vya monkeypox (homa ya nyani) vinavyoweza kuambukizwa kwa njia ya ngono, kunahitaji hatua za dharura za kimataifa kudhibiti ugonjwa huo. Mwenyekiti wa Kamati ya Dharura chini ya Kanuni za Afya za Kimataifa (IHR), Profesa Dimie Ogoina amesema hayo katika taarifa…

Read More

OSHA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI WA DAR NA PWANI

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa kazi (OSHA), Khadija Mwenda akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu Usalama Mahala pa Kazi. Mafunzo hayo yamefanyika jijini Dar es Salaam leo Agosti 16, 2024 jijini Dar es Salaam. Na Khadija Kalili, Michuzi Tv  WAKALA wa Usalama na Afya…

Read More

Usawa wa Jinsia Una Kila Kitu Cha Kufanya na Mabadiliko ya Tabianchi – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa wanawake huingiliana na mazingira na maliasili zake kwa karibu zaidi kuliko wanaume, wanasalia kuwakilishwa kidogo katika kufanya maamuzi yanayohusiana na hali ya hewa. Credit: Joyce Chimbi/IPS Maoni na Joyce Chimbi (nairobi) Ijumaa, Agosti 16, 2024 Inter Press Service Wakati janga la hali ya hewa linatokea, wanawake hawana pa kwenda. Wanakaa nje ya matukio hatari…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Shika peni na karatasi Ligi ya mfalme Charles

NA imerudi tena. Wakati inaondoka unaweza kudhani haitarudi tena hivi karibuni lakini ghafla imerudi tena. Ligi Kuu ya England. Zamani ilikuwa Ligi Kuu ya Malkia Elizabeth lakini baada ya yeye kutoweka duniani amemuachia mwanae Mfalme Charles. Dunia imeanza kusimama upya. Inanikumbusha katika kikao fulani cha wakubwa wa Ulaya pale Ujerumani kila kiongozi mkubwa alikuwa anajisifu…

Read More