Wakili Chuwa awasilisha maombi ya clip ya video kuletwa mahakamani
WAKILI wa Utetezi Edward Chuwa anayewatetea walalamikiwa Bhartat Nathwan na Sangita Bharat wanaotuhumiwa katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha chafu ya matusi, amewasilisha maombii mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya wakati kesi hiyo ilipokuwa ikiendelea kwa hatua ya ushahidi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Chuwa aliomba Kiran Ratilal awasilishe…