PROF.MKENDA:”MIFUMO YA ELIMU NCHINI LAZIMA IBADILIKE KUENDANA NA KASI YA MABADILIKO DUNIANI”

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi, mifumo ya Elimu Nchini lazima ibadilike ili kufikia malengo kwa kuwapatia vijana ujuzi, maarifa na maadili kuwawezesha kustawi na kuhimili ushindani katika karne ya 21. Mkenda amesema hayo leo Agosti 15, 2024 wakati akifungua Mkutano wa Elimu wa Kikanda wa…

Read More

Uzalishaji magari ya umeme Uganda mchongo kwa Tanzania

Uganda.  Wakati Uganda ikifungua kiwanda kutengeneza magari ya umeme, wadau wameeleza kuwa hatua hiyo ni fursa kwa nchi jirani ikiwemo Tanzania kupunguza matumizi ya fedha za kigeni zinazotumika kuagiza mafuta kila mara. Kiwanda hicho kwa kwanza Afrika kuzalisha magari ya umeme, Kiira Motors Coorporation (KMC), kinatarajiwa kuzalisha magari 5,000 kwa mwaka yatakayohusisha magari mabasi madogo…

Read More

Binti wa Shinawatra achaguliwa waziri mkuu mpya

  BUNGE la Thailand limemchagua Paetongtarn Shinawatra, binti wa bilionea na kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Thaksin Shinawatra, kuwa waziri mkuu. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Akiwa na umri wa miaka 37, Shinawatra, atakuwa waziri mkuu mwenye umri mdogo zaidi nchi humo na mwanamke wa pili kuwahi kushikilia wadhifa huo baada ya shangazi yake Yingluck….

Read More

Mtaalamu wa IT, wenzake mbaroni utengenezaji noti bandia

Musoma. Polisi mkoani Mara wanawashikilia watu watatu akiwepo mtumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kupatikana na noti bandia na mtambo wa kuzitengeneza. Wanatuhumiwa kupatikana wakiwa na noti bandia za Sh7.7 milioni ambazo walikuwa wakijiandaa kuziingiza mtaani. Taarifa kuhusu watuhumiwa hao imetolewa Agosti 16, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More