NAIBU WAZIRI UMMY NDARIANANGA APOKEA JEDWALI LA UCHAMBUZI WA SHERIA NDOGO KUTOKA KAMATI YA BUNGE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. Ummy Nderiananga, leo amepokea Jedwali la Uchambuzi wa Sheria Ndogo kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo, Mhe. Ramadhan Suleimani Ramadhan. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika katika ukumbi wa Bunge, Jijini Dodoma. Katika hotuba yake wakati wa upokeaji wa jedwali…

Read More

Uchaguzi wa mitaa Tanzania wanukia – DW – 16.08.2024

Wanaituhumu serikali kuruhusu uchaguzi huo kusimamiwa na wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa badala ya tume ya uchaguzi. Hata hivyo wamesisitiza hawataususia na kwamba wapo tayari kuingia ulingoni wakitegemea nguvu ya umma. Vyama vya upinzani nchini Tanzani vimejinasibu kuwa vitashiriki kikamilifu uchaguzi wa serikali za mitaa licha ya madai yao mengi ya…

Read More

Paetongtarn Shinawatra achaguliwa Waziri Mkuu mpya Thailand – DW – 16.08.2024

Paetongtarn, mwenye umri wa miaka 37, na mtoto wa kiongozi wa zamani wa Thailand, Thaksin Shinawatra, ndiye kiongozi mdogo kabisa kuwahi kuchaguliwa katika historia ya nchi hiyo. Kama mgombea pekee, Paetongtarn aliidhinishwa Ijumaa kwa kura 319, huku wabunge 145 wakipiga kura kumpinga, na wabunge 27 hawakupiga kura. Uchaguzi ulikuwa wa wazi hadharani Akitangaza matokeo hayo, Spika…

Read More

Walowezi wa Kiyahudi washambulia kijiji Palestina

Nablus. Walowezi wa Kiyahudi wamevamia kijiji cha Jit, kilichoko Ukingo wa Magharibi, usiku wa kuamkia Agosti 16, 2024. Walirusha mawe na mabomu ya petroli, wakachoma moto nyumba na magari. Wizara ya Afya ya Palestina imeripoti kwamba kijana mmoja wa miaka 20 ameuawa katika shambulio hilo, na mwingine amejeruhiwa kifuani. Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF)…

Read More

Juhudi za kuutatua mzozo wa Gaza zaendelea Doha – DW – 16.08.2024

Hayo yanajiri wakati Israel ikikabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa raia wake walioandamana mjini Tel Aviv, wakiishinikiza serikali ifikie makubaliano yatakayowarejesha nyumbani mateka haraka iwezekanavyo. Wapatanishi hao wa kimataifa wanaendelea kutafuta suluhisho la mzozo wa Gaza wakati mawaziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza na Ufaransa wakielekea Israel wanakotarajiwa kusisitiza umuhimu wa kuepuka vita kubwa…

Read More