MSAIDIZI WA PUTIN ASEMA NATO NA NCHI ZA MAGHARIBI ZILIHUSIKA KUIVAMIA URUSI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Nikolai Patrushev, msaidizi wa karibu wa Rais Vladimir Putin, amedai kuwa NATO na nchi za Magharibi zilihusika katika kupanga uvamizi unaoendelea wa Ukraine katika eneo la Kursk. Taarifa hii iliripotiwa na gazeti la Urusi, Izvestia, na imekuwa sehemu ya ripoti ya shirika la habari la Reuters. Patrushev alieleza kuwa operesheni katika eneo la Kursk ilipangwa…

Read More

USAID Majisafi Washirikiana na Wizara ya Maji na Kuwekeza Zaidi ya Bilioni 50 katika Maji – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri amelipongeza Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) kupitia mradi wa USAID Maji safi ambao unatekeleza miradi ya maji hapa nchini kwa kushirikiana na Sekta ya Maji hivyo kusaidia kufikia malengo ya Serikali katika huduma ya maji. Amesema hayo akifungua mkutano wa tathmini ya mwaka ya…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kila la kheri timu zetu kimataifa

KUANZIA leo Ijumaa hadi Jumapili, timu zetu tano zinazoiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya klabu Afrika zitakuwa uwanjani kuanza kupeperusha bendera katika mashindano hayo. Jumamosi, Yanga itakuwa katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuumana na Vital’O ya Burundi, mchezo ambao wawakilishi hao wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa wakihesabika wapo ugenini. Jioni yake saa…

Read More

Kicheko Ziwa Tanganyika likifunguliwa upya

Kigoma. Serikali imelifungua rasmi Ziwa Tanganyika baada ya kufungwa kwa kipindi cha miezi mitatu tangu Mei 15, 2024 huku ikikemea uvuvi haramu unaosababisha upungufu wa mazao ya uvuvi ziwani humo. Serikali ilisitisha shughuli za uvuvi katika ziwa hilo linalozungukwa mikoa ya Kigoma, Katavi na Rukwa hadi Agosti 15, 2024 ili kuruhusu samaki kuzaliana na kuongeza…

Read More

FADLU; Kazi ipo hapa Ligi Kuu Bara 2024/25 ikianza

BAADA ya misimu mitatu ya tabu ambayo Simba wameipitia wakati watani zao wa jadi Yanga wakiwa na shangwe kubwa, msala umekwenda kumuangukia Kocha Fadlu Davids ambaye ana kazi kubwa ya kufanya kuirudisha timu hiyo kwenye kilele cha furaha. Ipo hivi; Simba ambayo misimu minne mfululizo kuanzia 2017-2018 hadi 2020-2021 ilikuwa ikitamba kwa kubeba makombe ya…

Read More

KIWANDA KIPYA CHA CHUMVI KUFUNGULIWA LINDI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wizara ya Madini, Wizara ya Mipango na Uwekezaji, na Wizara ya Viwanda na Biashara zimekutana jijini Dodoma mnamo Agosti 15, 2024, kujadili changamoto zinazokabili sekta ya uzalishaji chumvi nchini. Kikao hicho kimeandaliwa kufuatia taarifa zilizowasilishwa kwa Serikali na Chama cha Wazalishaji Chumvi Tanzania (TASPA) kuhusu matatizo yanayoathiri sekta hiyo. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt….

Read More