Dabo aingiwa ubaridi Azam | Mwanaspoti

KOCHA mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema anajua kila kinachoendelea kwa sasa juu ya hatma yake klabuni hapo, lakini hana hofu na kutemeshwa kibarua kutokana na matokeo mabaya iliyopata timu hiyo hivi karibuni na hasa baada ya kuondoshwa katika hatua ya awali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kauli ya Dabo inajiri baada…

Read More

Mavambo aipa jeuri Simba SC

MSIMU uliopita, ungemwambia shabiki wa Simba kwamba mabosi wa klabu yake watamuacha kiungo wao Fabrice Ngoma wangeweza kukutia ngumi achilia mbali kung’aka kwa mshtuko. Lakini mechi mbili tu ndani ya msimu mpya ukiongeza na zile dakika 45 alizocheza katika Simba Day, zimetosha kumuibua mfalme mpya wa eneo la kiungo cha ulinzi, Debora Fernandes Mavambo. Huwaambii…

Read More

'Masharti ya Haki za Kibinadamu Huenda Yatazidi Kuwa Mbaya zaidi Kadiri Nchi Inavyoshuka na kuwa Jimbo la Polisi' – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Alhamisi, Agosti 29, 2024 Inter Press Service Agosti 29 (IPS) – CIVICUS inajadili mabadiliko ya hivi karibuni ya uongozi nchini Vietnam na David Tran, mratibu wa Muungano wa Demokrasia ya Vietnam, jukwaa la jumuiya ya kiraia ambalo linakuza demokrasia nchini Vietnam na kanda kupitia ushirikiano wa kimataifa na uimarishaji wa jumuiya za kiraia…

Read More

Aziz Ki amwachia Dube kiatu

WAKATI Yanga jana ilikuwa uwanjani kuvaana na Kagera Sugar katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu iliyopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, mjini Bukoba, staa wa timu hiyo Stephane Aziz Ki ameamua kujisalimisha mapema kwa kumtaja mrithi wa kiatu cha Mfungaji Bora akimpa Prince Dube. Aziz Ki anayeichezea Yanga kwa msimu wa tatu,…

Read More

Kitasa cha Simba SC chatangaza vita mpya

BEKI wa kati wa Simba, Abdulrazack Hamza amesema, anajisikia vizuri ndani ya kikosi hicho tangu ajiunge nacho msimu huu akitokea SuperSport United ya Afrika Kusini, huku akiweka wazi hahofii ushindani wa namba uliopo na kwamba amekuja kupambana na sio kuuza sura Msimbazi. Nyota huyo aliyewahi kutamba na timu mbalimbali hapa nchini zikiwemo Mbeya City, KMC…

Read More

Kampeni ya Umoja wa Mataifa ya Chanjo ya Polio huko Gaza Itaendelea Ndani ya Kusitishwa kwa Kibinadamu – Masuala ya Ulimwenguni

Rik Peeperkorn, mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Palestina, akitoa maelezo kwa wanahabari kuhusu kampeni ya chanjo ya polio huko Gaza. Credit: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Alhamisi, Agosti 29, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Agosti 29 (IPS) – Kampeni ya mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa ya…

Read More

Wazazi, Walezi Waaswa Kuacha Tamaa za Mali Kuzuia Watoto wa Kike Wasijiunge na Vyuo – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wazazi na walezi Wilayani Serengeti Mkoani Mara wameaswa kuacha kuingiza tamaa za mali na kuwazuia watoto wakike ili wasijiunge na vyuo vya ufundi kwaajili ya kuolewa kwani kufanya hivyo ni kukatili safari ya maisha yao katika elimu. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa world Changer  Sulus Samweli katika mahafali ya Saba ya chuo hicho ambapo…

Read More