PAETONGTARN SHINAWATRA KIONGOZI MDOGO ZAIDI KUWA WAZIRI MKUU THAILAND – MWANAHARAKATI MZALENDO

Paetongtarn Shinawatra, mwenye umri wa miaka 37, ameweka historia kwa kuchaguliwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Thailand. Akiwa kiongozi mdogo zaidi aliyewahi kushika nafasi hiyo, Paetongtarn pia anakuwa mwanamke wa pili kuongoza taifa hilo baada ya shangazi yake, Yingluck Shinawatra, ambaye aliondolewa madarakani mwaka 2014. Uchaguzi wake unazidi kuimarisha ushawishi wa familia ya Shinawatra katika…

Read More

Watoto wanavyoweza kufaulu mitihani yao shuleni

Katika maisha hakuna kitu ambacho kinasumbua wazazi kama kuwatafutia watoto wao elimu nzuri, kila mzazi anatamani kuona mtoto wake anasoma na kufaulu masomo yake na baadaye kuja kuwa na maisha mazuri na kuisaidia jamii yake. Jina langu ni William kutokea Jiji la Dar es Salaan, ninafanya kazi ya sheria katika ofisi binafsi, ni Baba wa…

Read More

Fahamu mazoezi yanayoboresha tendo la ndoa

Dk Anold Kegel ni mwanasayansi wa tiba bingwa wa magonjwa ya wanawake wa Marekani na mgunduzi wa mazoezi yajulikanayo Kegel, yenye kuboresha tendo la ndoa kwa wanawake. Uzoefu mkubwa wa kukabiliana na changamoto mbalimbali za kiafya kwa wanawake kulimwezesha kubaini udhaifu wa misuli ya kitako cha kiuno, kwa wanawake waliotoka kujifungua. Wazo lake hilo ndilo…

Read More