Mwelekeo mpya uchaguzi wa Serikali za mitaa

Dodoma. Katika hatua inayoashiria mwelekeo mpya wa demokrasia nchini, Serikali imetangaza kanuni mpya za uchaguzi wa Serikali za mitaa, ambazo zinatoa mwanya wa mabadiliko makubwa katika mchakato wa uchaguzi. Moja ya mabadiliko makubwa ni kuondolewa kwa utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa, jambo lililokuwa likilalamikiwa kwa muda mrefu na vyama vya upinzani. Leo Alhamisi Agosti…

Read More

DKT MWINYI- SERIKALI INAZINGATIA HAKI YA UHURU WA KUABUDU

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma RAISI wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ally Mwinyi ameeleza kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zote kwa ujmla wake zinazingatia haki na Uhuru wa kuabudu kama msingi muhimu wa kuleta umoja kwa Watanzania na kudumisha Amani. Dkt Mwinyi…

Read More

Mkutano wa AFPPD Unashughulikia Mabadiliko ya Tabianchi na Usawa wa Jinsia – Masuala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu wa AFPPD, Dk. Jetn Sirathranont, akihutubia katika mkutano wenye kaulimbiu ya Uwezeshaji wa Jinsia kwa Uchumi wa Kijani huko Islamabad, Pakistan. Mkopo: AFPPD na Annam Lodhi (Islamabad) Alhamisi, Agosti 15, 2024 Inter Press Service ISLAMABAD, Agosti 15 (IPS) – Ukusanyaji thabiti wa takwimu, sera jumuishi, na msukumo wa kasi kuelekea uchumi wa kijani…

Read More

Awesu sasa rasmi ni Simba, atua kambini

Muda mchache baada ya kumalizana na KMC kumng’oa kiungo, Awesu Awesu mchezaji huyo tayari ameungana na wenzake kambini kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu  Bara dhidi ya Tabora United Agosti 17.  Awesu Awesu dili lake na Simba licha ya kutambulishwa halikukamilika na Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji iliamuru kiungo huyo…

Read More

Wapinzani waeleza matumaini uchaguzi Serikali za mitaa

Dodoma. Viongozi wa vyama vya siasa nchini wameeleza matumaini yao kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024, wakisema unatarajiwa kuwa bora kuliko wa mwaka 2019 kutokana na maboresho kadhaa, ikiwemo ushirikishwaji wa wadau katika mchakato wa maandalizi. Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, Haji Khamis Ambari akizungumza baada ya kutolewa kwa tangazo…

Read More

Filamu nzima ya Ateba kutua Simba

SIMBA imeshamshusha straika mpya Lionel Ateba baada ya kufikia makubaliano na USM Alger ya Algeria kwa ajili ya uhamisho wa raia huyo wa Cameroon ili kuimarisha safu ya ushambuliaji ya Wekundu iliyopo chini ya kocha Fadlu Davids aliyehitaji kuboreshewa zaidi eneo hilo. Hata hivyo, wakati Simba inafanikisha uhamisho wa mshambuliaji huyo anayetazamiwa kuongeza nguvu eneo…

Read More

CCM yaendesha harambee kumchangia Lissu, Sh5.3 milioni zapatikana

Mwanza. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameendesha harambee ya kumchangia Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu ili aweze kutengeneza gari lake analolitumia kwenye shughuli zake. Harambee hiyo imefanyika leo Alhamisi, Agosti 15, 2024, Uwanja wa Furahisha, jijini Mwanza kwenye mkutano wa hadhara ambapo Sh5.3 milioni zimepatikana. Makalla ameendesha…

Read More

Bosi Mtibwa hesabu kali | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya uongozi wa Mtibwa Sugar kumrejesha aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Swabri Aboubakar baada ya kikosi hicho kushuka daraja, bosi huyo ameanza kupiga hesabu kali kwa nia ya kurejesha heshima ya mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu Bara 1999 na 2000. Swabri aliondolewa kikosini humo Desemba 29, mwaka jana…

Read More

Ajira milioni 6.4 kuzalishwa ujenzi wa viwanda

Dodoma. Ajira milioni 6.4 zinatarajiwa kuzalishwa kupitia mpango wa miaka mitano wa ujenzi wa viwanda nchini uliotangazwa na Wizara ya Viwanda na Biashara. Mpango huo umetangazwa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo leo Alhamisi Agosti 15, 2024 ambapo utatekelezwa ndani ya miaka mitano (2025 hadi 2030). “Jumla ya viwanda vidogo, vya kati…

Read More