Kikapu Mwanza mwendo wa dozi tu

TIMU za Crossover (CIC) na Young Profile zimeanza kwa ushindi katika michezo yao ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza, huku wachezaji Hamis Hamis na Bryan Edward waking’ara na kuibuka nyota wa michezo hiyo kwa kufunga pointi nyingi na kuzibeba timu zao. Ligi hiyo iliyoanza Agosti 4, mwaka huu, iliendelea mwisho wa wiki iliyopita kwenye…

Read More

WAZIRI NDEJEMBI AELEKEZA WATUMISHI WA ARDHI WASIO WAADILIFU KUCHUKULIWA HATUA

Eleuteri Mangi, Dar es Salaam Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi amemwelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kumchukulia hatua kali za kinidhamu Afisa Ardhi Mwandamizi Gaudence Mtalo kwa kusababisha mkanganyiko kwa kukosa uadilifu katika kutekeleza majukumu yake. Waziri Ndejembi ametoa maelekezo hayo Agosti 15, 2024 jijini Dar es salaam wakati…

Read More

Njia 243 za kuwa tajiri kwenye sloti ya ODD One Out

  Wakati ambao wengi wanasubiri kuanza kwa msimu mpya wa Ligi duniani kote, wajanja wanazidi kupiga pesa kirahisi Zaidi, na Sloti ya ODD ONE OUT. Jisajili hapa kisha upate bonasi ya ukaribisho ya 3,000,000/= Mchezo wa sloti huu kutoka kasino ya mtandaoni inakupa njia 243 za kutengeneza ushindi, unaanzaje kushindwa kuwa bilionea? Mchezo huu una…

Read More

Sababu za Profesa Kabudi, Lukuvi kuteuliwa tena

Dar es Salaam. Ilionekana kama vile Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anampigia chapuo mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palagamba Kabudi, achaguliwe tena na wananchi wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa mwakani kwa kauli yake mbele ya wananchi jimboni humo Agosti 2, 2024. Aliwaambia wananchi hao: “Endeleeni kuniletea Kabudi.” Kabla ya kauli hiyo, akiwa…

Read More

Mashabiki Tabora United washushwa presha

WAKATI pazia la Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 likitarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho Ijumaa kwa kupigwa mechi moja kati ya Pamba Jiji na Tanzania Prisons, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha ambaye ni mlezi wa Tabora United amewatuliza presha mashabiki wa timu hiyo akisema wamejipanga vilivyo kufanya vyema msimu huu tofauti na uliopita walipokaribia…

Read More

WAZIRI JAFO ATAKA KILA MKOA KUANZISHA VIWANDA

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo,akizungumza na Waandishi wa Habari wakati akiitambulisha Programu ya  utekelezaji Programu ya Viwanda (2025- 2026) inayoongozwa na Kauli mbiu isemayo “Viwanda vyetu, Ajira zetu Uchumi wetu” leo Agosti 15, 2024 jijini Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo,akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari …

Read More

Zelenskyy asema vikosi vya Ukraine vimeukamata mji wa Urusi – DW – 15.08.2024

Tangazo hilo la Zelenskky limetolewa wakati Moscow imesema inapeleka wanajeshi wa nyongezakuvikabili vikosi vya Ukraine vilivyoingia ndani ya ardhi yake.  Katika ujumbe alioutuma kupitia mitandao ya kijamii, Rais Zelenskyy amesema vikosi vya nchi yake vimepata mafanikio ya kuukamata kikamilifu mji wa Sudzha na kuwatimua wanajeshi wa Urusi waliokuwa wakiulinda. Kiongozi huyo alipatiwa taarifa hizo na…

Read More

Simba yamkomalia Awesu, kigogo KMC atoa ufafanuzi

SAA chache baada ya kuibuka kwa tetesi kwamba Yanga imeamua kuingilia kati dili la usajili wa kiungo Awesu Awesu aliyetambulishwa na Simba kabla ya kutangazwa kurudishwa klabu ya KMC, taarifa mpya ni kwamba mabosi wa Msimbazi wameamua kumkomalia na muda mchache mambo yatatiki. Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya TFF, iliyosikiliza shauri la…

Read More

WANAWAKE WASILAZIMISHWE VITI MAALUM – TGNP

Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Lilian Liundi Na Deogratius Koyanga, Dar es salaam MAKATIBU wa Vyama vya siasa nchini wametakiwa kutokuwalazimisha wanawake wanaotarajia kugombea uongozi wa serikali za Mitaa kuchukua fomu za ujumbe wa Viti maalum, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kwamba wanagombea nafasi za uenyekiti wa mitaa au vijiji. Hayo yamesemwa…

Read More