Mrithi wa Minziro apata jeuri mapema

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata raia wa Uganda amesema baada ya kukitazama kikosi chake katika mechi mbili za kimataifa za kirafiki ameridhishwa na uwezo wa wachezaji na anaamini atafanya vizuri msimu huu kwenye Ligi Kuu. Kocha huyo wa zamani wa Express na Villa SC za Uganda alitambulishwa Agosti 10, mwaka huu na Kagera…

Read More

SERIKALI YATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA 2024

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa,akizungumza  wakati akitoa tangazo la uchaguzi wa serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 lililoambatana na uzinduzi wa nembo itakayatumika kwenye uchaguzi pamoja na utolewaji wa muongozo wa uchaguzi huo,hafla iliyofanyika leo Agosti 15,2024 jijini Dodoma. Mwenyekiti wa Baraza la…

Read More

TANZANIA YAPATA SOKO LA KIMKAKATI LA ASALI UCHINA.

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam Tanzania na China leo zimesaini Itifaki ya kuuza Asali ya Tanzania nchini China huku Serikali ya Tanzania ikitoa wito kwa watanzania kuchangamkia fursa ya kuzalisha asali yenye ubora kwa wingi ili kuinua vipato vyao na uchumi wa taifa kwa ujumla.  Soko la China lina zaidi ya watu bilioni 1.4…

Read More

JIWE LA SIKU: Dabi ilivyowatibulia washambuliaji Simba

KWA SASA kinachoendelea kwenye vyombo mbalimbali vya habari na kule mitandaoni ni ishu ya ujio wa straika mpya wa Simba yakitajwa majina mawili, Christian Leonel Ateba anayekipiga USM Alger na Elvis Kamsoba aliyemaliza mkataba na Perserikatan Sepakbola ya Indonesia. Simba ilianza msimu vibaya kwa kuondoshwa kwenye nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya mtani…

Read More

Mwanafunzi asimulia dakika za mwisho mwenzao aliyefia mazoezini

Moshi. Zikiwa zimepita siku tatu tangu kutokea kifo cha mwanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Umbwe, iliyopo Wilaya ya Moshi, Thomas Kogal (19), mwanafunzi mwenzake, Mohamed Rajab amesimulia alivyozungumza naye dakika za mwisho kabla ya mauti kumfika. Thomas aliyekuwa anasoma mchepuo wa sanaa (HKL), alifariki dunia Jumatatu Agosti 12,…

Read More

Dili la Willy Essomba Onana Qatar latibuka

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mcameroon Willy Essomba Onana yuko katika hatua za mwisho za kukamilisha dili lake la kujiunga na Al Ahli Benghazi ya Libya, baada ya dili la kujiunga na Muaither ya Qatar kubuma. Nyota huyo aliyefunga mabao manne ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, ilielezwa angejiunga na Muaither inayoshiriki Ligi ya Qatar (Qatar…

Read More

Vifo vyapindukia 40,000 Gaza – DW – 15.08.2024

Vyanzo vya kuaminika kutoka kwa baadhi ya wanadiplomasia vimeripoti kuanza kwa mazungumzo hayo mjini Doha, ambapo wapatanishi kutoka Marekani, Misri na Qatar wamekutana na wajumbe wa Israel huku Hamas ikikataa kushiriki, lakini ikasema iko tayari kupokea taarifa ili kufahamu mambo yaliyojadiliwa. Hamas wamesema hawahitaji mazungumzo mapya bali utekelezwaji wa makubaliano ya mpango uliopendekezwa na Marekani…

Read More