CCM yaendesha harambee kumchangia Lissu, Sh5.3 milioni zapatikana, mwenyewe akubali kuzipokea

Mwanza. CCM yachangishana Sh5.3 milioni za Lissu, mwenyewe azikubali Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla ameendesha harambee ya kumchangia Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu ili aweze kutengeneza gari lake analolitumia kwenye shughuli zake. Harambee hiyo imefanyika leo Alhamisi, Agosti 14, 2024, Uwanja wa Furahisha, jijini Mwanza kwenye…

Read More

Yanga yadaiwa kuingilia kati dili la Awesu

WAKATI sakata likiwa halijapoa la kiungo Awesu Awesu kugoma kurejea katika klabu yake ya KMC kutokana na usajili wake kwenda Simba kuonekana ni batili, Yanga ni kama imepigilia msumari, baada ya kutajwa kuingilia dili hilo. Ipo hivi: Awesu Awesu alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja na KMC, akaandika barua ya kuvunja na kuilipa timu hiyo…

Read More

U-N’Golo Kanté ndani ya Maxi Nzengeli

KUNA tabia za ndani na nje ya uwanja alizonazo winga wa kushoto Yanga, Maxi Mpia Nzengeli (24), zinazofanana na kiungo mkabaji wa Al-Ittihad ya Saudi Arabia, Ngolo Kante (33). Nzengeli ni kama anaendana na tabia ya jina lake, ambalo kikwao ni malaika, hana mambo mengi na kitu wanachokipenda mashabiki wake ni kuchomekea awapo uwanjani. Staa…

Read More

Takukuru: Baadhi ya abiria SGR hawalipi nauli sahihi

Morogoro. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Morogoro imebaini uwepo wa abiria wachache wanaotumia treni ya SGR ambao hawalipi nauli sahihi ya vituo wanavyoshukia. Takukuru imesema vitendo hivo, endapo vitaendelea, vitasababisha Shirika la Reli Tanzania (TRC) kushindwa kujiendesha kwa siku zijazo. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Agosti 15, 2024, Naibu…

Read More

10 Kali za mwanzo kwa Pamba, KenGold

RATIBA ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, imewekwa hadharani, huku tukishuhudia timu mbili zilizokuwa zinacheza Ligi ya Championship za Pamba ya Mwanza na KenGold ya Mbeya zikipishana na Mtibwa Sugar na Geita Gold zilizoshuka rasmi daraja. Wakati mashabiki wa timu hizo za Pamba na KenGold wakiwa na mzuka na kusubiria kile ambacho miamba…

Read More

Mambo yanayomsubiri bosi mpya NHIF

Dar es Salaam. Daktari wa Uchumi, Irene Isaka mwenye uzoefu wa kuongoza mashirika ya Serikali na binafsi ndani na nje ya nchi, amepewa jukumu la kuongoza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF). Dk Isaka anachukua nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu, Bernard Konga aliyemaliza muda wake baada ya kuongoza mfumo huo tangu mwaka 2016….

Read More