Sababu ingia, toka mawaziri Wizara ya Maliasili

Dar es Salaam. Unyeti wa Wizara ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania na rundo la wajibu unaotegemea utashi wa wizara nyingine, ndiyo sababu iliyotajwa na wadau kuifanya wizara hiyo iwe mapito ya muda mfupi kwa kila anayeteuliwa. Kauli hiyo ya wadau inakuja, wakati ambao Wizara ya Maliasili na Utalii imeonekana kukumbwa na kila mabadiliko ya …

Read More

Rais awataka mawaziri wajiongeze – Mwanahalisi Online

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka mawaziri na watendaji wengine anaowateua kwenye nyadhifa mbalimbali wajionge pindi wanapokutana na suala lisilohusu taaluma wasizozisomea. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…. (endelea). Rais Samia ameyasema maagizo hayo leo tarehe 15 Agosti 2024, wakati anawaapisha mawaziri na watendaji wapya wa serikali aliowateua jana tarehe 14 Agosti 2024. Rais Samia…

Read More

Rais Samia awataka wateule kujiongeza, Jaji Mkuu atia neno

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi aliowateua kwenda kufanya kazi kwa kutumia umahiri wa taaluma walizosomea na panapotakiwa kujiongeza wafanye hivyo. Mkuu huyo wa nchi, aliyetumia chini ya dakika tatu kutoa neno kwa wateule aliowaapisha, ameahidi kuwaita viongozi hao kila sekta kwa ajili ya kuzungumza nao. Rais Samia ameyasema hayo leo, Alhamisi…

Read More