Benki ya Exim yaadhimisha Miaka 27 ya kuwahudumia watanzania

  BENKI ya Exim Tanzania imeadhimisha miaka 27 tangu kuanzishwa kwake katika safari iliyojaa mafanikio, ubunifu, na huduma bora kwa wateja wake. Ikiwa na kaulimbiu ‘Miaka 27 ya Kukupa Kipaumbele’, inaangazia mafanikio yake na mikakati madhubuti ambayo imejiwekea ili kuendeleza mafanikio hayo miaka mingi ijayo. Akizungumza katika hafla hiyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya…

Read More

Bunge kuendelea kutunga sera za kunufaisha wajasiriamali

Dar es Salaam. Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania limeahidi kuendelea kutunga sheria na sera zitakazoweka mazingira bora ya maendeleo ya wajasiriamali. Hayo yamesemwa leo Agosti 15, 2024 ma Spika wa Bunge hilo, Dk Tulia Ackson alipotembelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara Tanzania (TCB), Adam Mihayo ofisini kwake jijini Dodoma. Dk Tulia…

Read More

Hawa nao kuliamsha Ligi Kuu Bara 2024/25

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza rasmi leo kila timu ikianza hesabu mpya ikiwania pointi 90 za michezo 30 inayopatikana ndani ya msimu mmoja. Kila timu ilikuwa na muda wa zaidi ya siku 30 za kujipanga kwa kusajili vikosi vyao pamoja na kuboresha mabenchi yao ya ufundi tayari kwa msimu mpya ambao rasmi utafunguliwa…

Read More

Wanaume waongoza kwa maambukizi ya M-Pox kupitia ngono

  IMEELEZWA kuwa wanaume wanaongoza kwa maambukizi ya ugonjwa wa homa ya nyani (M-Pox) huku wengi wao wakiambukizwa kupitia ngono. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kwa kila visa 10 vilivyoripotiwa kuhusu Mpox, tisa vinajumuisha wanaume, idadi kubwa wakiwa wameambukizwa kupitia kujamiiana. Miongoni mwa jumla ya visa 90,140 vya maambukizi,…

Read More

Taliban yaadhimisha miaka mitatu madarakani – DW – 15.08.2024

Katika sherehe za kusherehekea mwaka wao wa tatu tangu kuutwaa mji mkuu Kabul, zimefanyika katika kituo cha zamani cha anga cha Marekani iliotumika kusuka mipango ya kuwaondoa Taliban madarakani. Hotuba za viongozi hazikubeba ahadi za kumaliza changamoto za wananchi na badala yake ziliilenga jumuiya ya kimataifa, kuwataka kutoingilia masuala yake ya ndani huku wakiweka msisitizo…

Read More

Uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 27

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerewa ametoa tangazo la uchaguzi wa Serikali za mitaa akisema utafanyika Novemba 27, 2024. Tangazo hilo amelitoa leo Alhamisi, Agosti 15, 2024 jijini Dodoma, akisema kampeni za uchaguzi huo zitaanza Novemba 20-26, 2024. Awali, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Tamisemi,…

Read More