Timu mkao wa kula Ligi Kuu Bara 2024/25

Wakati pazia la Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024/2025 likifunguliwa kesho, timu zimetamba kuwa maandalizi ziliyofanya yanazipa matumaini ya kila moja kutimiza malengo wakati msimu utakapofikia tamati mwakani. Mchezo baina ya Pamba Jiji na Tanzania Prisons utakaochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kesho utafungua pazia na baada ya hapo utafuatiwa na mechi…

Read More

Baraza la vyama lampongeza Rais Samia anavyotekeleza 4R

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Juma Ali Khatibu amesema kazi kubwa ya baraza hilo ni kuishauri Serikali katika mambo muhimu yanayohusu siasa na wananchi, huku akiishukuru Serikali kwa ushirikiano inaouonyesha. Khatibu ameyasema hayo leo Alhamisi, Agosti 15, 2024 kwenye hafla iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa…

Read More

Noti za Waarabu zaitibulia Simba

SIMBA kabla ya kumsajili Leonel Ateba ilikuwa imepiga hodi kwa Al Ittihad ya Misri kuulizia uwezekano wa kumsajili straika tishio wa Angola, Agostinho Cristovao Paciencia ‘Mabululu’, lakini ghafla mpango wao ukatibuliwa na fedha za kumwaga za Al Ahli Tripoli ya Libya ambayo ndio imefanikiwa kumnasa mshambuliaji huyo. Mpango wa Simba kumsajili Mabululu ulianza tangu baada…

Read More

Duru mpya ya mazungumzo kuanza mjini Doha – DW – 15.08.2024

Marekani, Misri na Qatar zinatarajiwa kukutana kwa mazungumzo na wajumbe wa Israel mjini Doha katika duru hiyo mpya ya mazungumzo ambayo huenda ikawezesha kufikiwa kwa makubaliano ya kusitisha vita na hivyo kuleta matumaini ya kuepuka mzozo mpana zaidi wa kikanda. Haikufahamika wazi ikiwa Hamas ingelishiriki  mazungumzo hayo   kwa kuwa wameituhumu Israel kuongeza masharti zaidi kwenye pendekezo…

Read More

WaterAid yazindua mkakati wa maji na mazingira

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI Mkaazi wa Shirika la WaterAid, Ana Mzinga, amesema bado kuna changamoto ya upatikanaji wa maji hasa katika zahanati na vituo vya kutoa huduma za afya. Mzinga aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa uzunduzi wa mkakati wa Shirika la WaterAid kwa kuwashirikisha wadau wa Maji na Usafi wa Mazingira…

Read More