Rc Malima ataka watendaji kata maafisa tarafa kuwajibika
Mkuu wa mkoa Morogoro Adam Malima amewataka watendaji wa Kata kuacha kufanya upendeleo wakati wa kushugulikia Changamoto za ardhi katika maeneo yao Rc Malima ameyasema hayo wakati akifungua semia Kwa watendaji wa kata na maafisa tarafa zote wa mkoa huo ambapo amesema wapi baadhi Yao wanatumia vibaya Kwa kufanya upendeleo Kwa wafugaji wakati wa utoaji…