Gamondi apewa ramani kwa Pacome mjipange

IKIWA imebaki siku moja tu kabla ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 kuanza, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua amesema ajipanga kivingine kulinda kibarua alichokianza tangu msimu uliopita na kwamba ubora wa mastaa unavyoleta presha mpya ya nafasi naye yupo tayari kupambana kuendeleza moto. Staa huyo, aliyetua Yanga msimu uliopita akitokea Asec Mimosas ya…

Read More

Namba zinavyomtega straika mpya Simba

Leonel Ateba ana kibarua kigumu cha kuthibitisha kuwa Simba haijakosea kumsajili kwa gharama kubwa juzi akitokea USM Alger kutokana na takwimu zake za ufungaji kuonyesha hazijatofautiana sana na zile za Freddy Koublan na Steven Mukwala ambao kocha Fadlu Davids ameonyesha kutoridhishwa nao. Simba ilikamilisha kwa haraka uhamisho wa Ateba kwa gharama zinazotajwa kufikia Dola 200,000…

Read More

WATENDAJI VILABU VYA LIGI KUU WANUFAIKA NA ELIMU YA HIFADHI YA JAMII KUTOKA NSSF

*Karia avitaka vilabu vyote ligi kuu kuchangamkia fursa ya kujiwekea akiba *NSSF waeleza namna  watakavyonufaika kupata mafao, matibabu Na MWANDISHI WETU,Dar es Salaam. Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bw. Wallace Karia amevitaka vilabu vinavyoshiriki ligi kuu Tanzania Bara kuwaandikisha wachezaji, makocha na wafanyakazi wao katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya…

Read More

Wanawake wananigombania sana, kila mmoja anataka kuwa na mimi!

Katika tamaduni za Kiafrika, mwanaume ndiye anamfuata (kumtongoza) mwanamke wakati anamuhitaji kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi. Kitendo cha mwanamke kumtongoza mwanaume ni jambo la nadra sana kulisikia katika jamii zetu ingawa kuna watu hilo huwatokea pale Binti anapompenda kijana fulani. Mimi ni miongoni mwa vijana wachache ambao wanawake wengi wazuri na warembo wamekuwa wakifanya…

Read More

UMMY NDERIANANGA APONGEZWA KUWASAIDIA WATU WENYE ULEMAVU

MOSHI. BAADHI ya Watu Wenye Ulemavu mkoani Kilimanjaro wamemshukuru Mbunge wa Viti Maalum kundi la Watu Wenye Ulemavu na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Ummy Nderiananga kwa moyo wake wa kujitoa kuwahudumia watu wenye ulemavu. Wakizungumza mara baada ya mkutano wa ndani uliofanyika katika Tarafa ya Vunjo Mashariki, wilaya Moshi…

Read More