Samia afagia ofisi ya AG, Hamza amrithi Feleshi

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwemo wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wakili Mkuu wa Serikali na Jaji wa Mahakama ya Rufani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses…

Read More

Mabosi TAKUKURU, NIDA, Ikulu waguswa panga pangua ya Samia

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali ikiwemo uteuzi wa katibu tawala wa mkoa na naibu makatibu wakuu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka, viongozi walioteuliwa na kuhamishwa vituo vya kazi ni pamoja…

Read More

Mawakala wa forodha walia na mfumo hodhi wa manunuzi serikalini

Dar es Salaam. Chama cha Wakala wa Forodha Tanzania (Taffa) kimeeleza kuwa uamuzi wa Serikali kutumia Wakala wa Huduma na Ununuzi Serikalini (GPSA) katika manunuzi yote unawakosesha kazi na kuathiri shughuli zao za kila siku. Kutokana na hilo, kimemuomba Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa awasaidie mawakala kwa kurejesha uhai wa shughuli zao kupitia ushindani. Hayo…

Read More