Wanamtandao Tanzania waibua mapya rushwa ya ngono
Dar es Salaam. Wanamtandao wa Kupinga na Kupambana na Rushwa ya Ngono nchini Tanzania wametaka kuondolewa kwa kifungu cha 10(b) kwenye mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya rushwa, ambacho kinahukumu mtu aliyetendewa udhalilishaji huo kwa kigezo cha kushawishi. Tamko la wanamtandao hao limetolewa leo Jumatano, Agosti 14, 2024, jijini Dar es Salaam na Mary Ndano,…