Mkojo kutumika kubaini vimelea vya kifua kikuu kwa watoto

Dar es Salaam. Kutokana na ugumu wa kuwabaini watoto walioambukizwa Ugonjwa Kifua Kikuu (TB), Serikali imetangaza teknolojia mpya ya kuchunguza vimelea vya ugonjwa huo kupitia mkojo. Kinachosubiriwa kuanza kutumikia kwa teknolojia hiyo ni vitendanishi vitakavyowezesha upimaji wa mkojo kwa watoto ili kubaini maambukizi ya kifua kikuu. “Tumeleta teknolojia ya uchunguzi wa vimelea vya kifua kikuu…

Read More

KenGold msiichukulie poa, yajipanga Ligi Kuu

KWA  mara ya kwanza Ken Gold inatarajia kushiriki Ligi Kuu tangu ilipoanzishwa timu hiyo mwaka 2018 ilipobadilishwa jina kutoka Gipco FC iliyokuwa mkoani Geita. Timu hiyo yenye makazi yake Wilayani Chunya mkoani Mbeya, inajiandaa na Ligi Kuu kwa mara ya kwanza baada ya kupanda daraja ikiwa na rekodi ya ubingwa wa Championship. Ken Gold inayomilikiwa…

Read More

Mbarawa: Tunataka SGR ifanye kazi saa 24

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amesema wamejipanga kushirikiana na sekta binafsi katika utekeleza miradi mbalimbali kwa utaratibu Ushirikiano wa Serikali na Sekta Binafsi (Public Private Partnership – PPP). Katika kufanikisha hilo, Profesa Mbarawa amesema Serikali imefanya marekebisho ya sheria ya Reli namba 10 ya mwaka 2017 ili kuruhusu ushiriki wa sekta…

Read More

Kalambo aichomolea KenGold jioni | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kipa wa Dodoma Jiji, Aaron Kalambo ameshindwa kujiunga na KenGold iliyopanda Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kushindwa kukubaliana maslahi binafsi licha ya kufanya mazoezi kwa takribani wiki tatu. Nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons na Geita Gold, aliachana na Dodoma Jiji msimu uliopita, hivyo mabosi wa KenGold wakaanza mazungumzo ili ajiunge…

Read More

NMB kumkabidhi Rais Samia shule, maadhimisho Tamasha la Kizimkazi

Unguja. Wakati kamati ya maandalizi ya tamasha la Kizimkazi mwaka 2024 ikitambulisha wadhamini wa mwaka huu, Benki ya NMB, imejipanga kuwanoa wajasiriamali zaidi ya 700. Pia, inatarajiwa kukabidhi Shule ya Maandalizi ya Tasani, iliyoko Makunduchi Zanzibar. Tamasha hilo litatumika kuzindua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na wadau wa maendeleo,…

Read More

Simba, Awesu ngoma nzito, mchongo mzima uko hivi!

KAMA wewe ni shabiki wa Simba na ulikuwa unachekelea usajili wa kiungo mshambuliaji fundi kutoka KMC, Awesu Awesu pole yako, kwani dili la nyota huyo wa zamani wa Azam na Madini limebuma na jana klabu aliyokuwa akiichezea ikimtangaza kumkaribisha upya kikosini kutoka kwa Wekundu wa Msimbazi. Awali Mwanaspoti mwishoni mwa wiki liliwajulisha kuwa dili la…

Read More