Kigwangala aibuka na mpya | Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Nzega Vijijini (CCM), Dk Hamis Kigwangalla amesema licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na sera na mipango mizuri, kuna tatizo la utekelezaji, hali inayorejesha nyuma utoaji wa huduma za jamii nchini. Ameyasema hayo leo Jumatano, Agosti 14, 2024 alipokuwa akihutubia katika uzinduzi wa mkakati wa Shirika la Water Aid kwa…

Read More

Kasaka Achukua Fomu Ubunge wa Afrika Mashariki

Kada wa Chama Cha Mapinduzi  Chikukupi Njelu Kasaka akizungumza na wananchi na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa wa Afrika Mashariki ndani ya Chama hicho ,Katika Ofisi Ndogo Lumumba Jijini Dar es Salaam. Kada wa Chama Cha Mapinduzi  Chikukupi Njelu Kasaka akikabidhiwa fomu ya kugombea ubunge wa Afrika Mashariki …

Read More

Singida kufunga usajili na straika

SINGIDA Black Stars iko katika hatua za mwisho  kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji Abdoulaye Yonta Camara kutoka timu ya Milo ya kwao Guinea, likiwa ni pendekezo la kocha Patrick Aussems.  Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti kwamba  mabosi wa Singida wanapambana kukamilisha dili hilo kabla ya usajili haujafungwa leo usiku. “Kama mambo yataenda sawa…

Read More

Madiwani Moro wazua mzozo kwenye baraza ununuzi greda

MADIWANI wa Halmashari ya Manispaa ya Morogoro wameitaka Halmashauri hiyo kuhakikisha inanunua Greda la kuchonga barabara kabla ya Agosti 30 mwaka huu ili kutowakwamisha kwenye uchaguzi hapo mwakani. Anaripoti Christina Cosmas, Morogoro … (endelea). Madiwani hao akiwemo Samuel Msuya wa kata ya Mbuyuni wamesema hayo kwenye kikao robo ya mwisho ya baraza madiwani kinachofanyika kwenye…

Read More

Lissu, Mnyika wasimulia walivyochezea kipigo

Dar es Salaam. Viongozi wakuu wa Chadema, Tundu Lissu na John Mnyika, wamesimulia namna walivyokumbana na vipigo na kusafirishwa hadi maeneo tofauti kutoka jijini Mbeya kabla ya kufikishwa Dar es Salaam na kuachiwa huru na polisi. Mwingine aliyekumbwa na kadhia hiyo ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, maarufu Sugu, ambaye ndiye aliyekuwa wa…

Read More

Majeruhi yaendelea kuiandama Azam FC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Abdul Suleiman ‘Sopu’ atakuwa nje kwa takribani wiki mbili hadi tatu baada ya kupata majeraha ya kifundo cha mguu, katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimamoto kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota huyo amegundulika kupata majeraha hayo wakati wa mchezo huo uliopigwa Julai 12 mwaka huu, wakati Azam…

Read More

MPANGO WA SHULE SALAMA KWA MAENDELEO YA WANAFUNZI

Afisa Elimu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Elipidus Baganda, amesema Serikali imeanzisha Mpango wa Shule Salama katika shule za sekondari nchini kwa lengo la kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji, pamoja na kuongeza ulinzi na usalama wa watoto. Ameyasema hayo wakati akizungumza na washiriki wa mafunzo maalum ya Mpango wa Shule Salama, yaliyowakutanisha washiriki 275…

Read More

Mbowe: Tutawaburuza mahakamani Sisti Nyahoza, Awadhi Haji

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema wanatarajia kuwaburuza mahakamani Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo, CP – Awadh Haji pamoja na Msajili msaidizi wa vyama vya siasa, Sisti Nyahoza ili kuwawajibisha kutokana na madhila waliyotendewa viongozi na wafuasi wa chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Pia…

Read More

TGNP YATOA MAFUNZO KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ILI KUONGEZA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA NGAZI ZA UONGOZI NA MAAMUZI

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) imeanda mafunzo kwa Viongozi wa vyama vya Siasa ili kuongeza ushiriki wa wanawake katika ngazi za uongozi na maamuzi ambapo mafunzo hayo yamejumuhisha washiriki kutoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Chama cha Wananchi (CUF), ACT Wazalendo, Chama cha Kijamii (CCK) na NCCR Mageuzi. Akizungumza…

Read More