NEMC yataja ugumu kuzuia uzalishaji mifuko ya plastiki

Dar es Salaam. Uelewa hafifu kwa jamii juu ya athari za kimazingira na kiafya zitokanazo na matumizi ya vifungashio vya plastiki, ni moja ya sababu zinazotajwa kuchangia kuendelea kuzalishwa kwa siri kwa kuwa wanaangalia upande wa faida pekee. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limesema changamoto hiyo ni moja ya kikwazo…

Read More

RAIS SAMIA ALIPIA WASIOWEZA GHARAMA UPANDIKIZAJI FIGO

    Wagonjwa wenye changamoto ya figo wanaohitaji kupandikizwa figo ambayo ni tiba stahiki kwa wagonjwa wanaosafisha damu na hawana uwezo wa kulipia gharama za upandikizaji watahudumiwa kupitia fedha alizotoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ili ziweze kufanya kazi hiyo. Hayo yamesemwa leo…

Read More

LIGI KUU SPESHO: Mechi hizi sio za kukosa

RATIBA ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025, imetolewa rasmi na Bodi ya Ligi (TPLB) huku kila timu ikitambua mpinzani itakayeanza naye mapema na itaanza kutimua vumbi Ijumaa hii ya Agosti 16, mwaka huu na kuhitimishwa Mei 24, mwakani. Wakati ratiba inapotolewa kwa kila taifa lolote, jambo la kwanza linaloangaliwa ni michezo yenye hisia…

Read More

IDADI YA WATALII YAONGEZEKA PUGU- KAZIMZUMBWI,WAFIKIA 21,248- MTEWA

IDADI ya watalii wanaotembelea Msitu wa Hifadhi ya Pugu-Kazimzumbwi, wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani imeongezeka na kufikia watalii 21,248 kwa mwaka 2023/2024. Aidha, mapato yaliyopatikana kutokana na watalii hao ni kiasi cha sh.milioni 222. Akizungumzia ongezeko la watalii na mapato katika hifadhi hiyo, Meneja Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) wilayani Kisarawe, Mhifadhi Baraka Mtewa alisema, kwasasa…

Read More

Lopez astaafu akikumbushia ya gwiji wa riadha

MICHEZO ya 31 ya Olimpiki iliyomalizika Jumapili iliyopita kule Paris, Ufaransa imeacha kumbukumbu mbalimbali za kihistoria zinazoingia kwenye vitabu kama zilizowekwa miaka mingi iliyopita ambazo zimekuwa hazisahauliki. Mmoja kati ya wanariadha walioacha historia katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika Ufaransa ni mwanamieleka wa Cuba, Mijain Lopez, ambaye alishinda medali yake ya tano ya dhahabu ya mieleka…

Read More