Mawaziri 70 kujadili uvuvi, uchumi wa buluu Dar

Dar es Salaam. Mawaziri 70 kutoka mataifa wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) wanatarajia kukutana kwa siku tano nchini kujadili uchumi wa buluu na kuweka mkakati wa pamoja kuimarisha sekta ya uvuvi. Mkutano huo utakwenda sanjari na kongamano la kimataifa kuhusu mikakati ya Uboreshaji wa Mnyororo wa Uzalishaji wa Vyakula vya Majini…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Simba Queens imevuna ilichokipanda

MATUMAINI yalikuwa makubwa sana kwa Simba Queens kwamba ingetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa wanawake yaliyofikia tamati jana huko Ethiopia. Mashindano hayo yako chini ya usimamizi wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) na bingwa wake hupata moja kwa moja tiketi ya…

Read More

BAOBAB WATEMBELEA NBAA – MICHUZI BLOG

BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea kutoa elimu/mafunzo kwa wanafunzi wa Taasisi, Vyuo pamoja na Shule za Sekondari ikiwa na lengo la kuwajengea ufahamu kuhusu shughuli mbalimbali za Bodi na kukuza taaluma ya Uhasibu. Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo Mkurugenzi wa Huduma za Shirika CPA Kulwa Malendeja alitoa salamu…

Read More

Sintofahamu ujenzi wa barabara ya njia nne Mbeya

Mbeya. Kasi ndogo utekelezaji wa ujenzi wa mradi barabara njia nne yenye urefu wa kilometa 29 kutoka Uyole hadi eneo la Songwe Wilaya ya Mbeya mkoani hapa, imeibua maswali kwa wananchi na kuwatia hofu kwamba huenda usikamilike kwa wakati uliopangwa. Wananchi wamepaza sauti zao baada ya kushuhudia kuondolewa kwa magari na vifaa vya ujenzi vya…

Read More