Ugonjwa wa mpox watangazwa kuwa dharura ya afya ya umma – DW – 14.08.2024
Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa barani Afrika (Africa CDC) kilitangaza kwa mara ya kwanza hali ya dharura ya kiafya barani Afrika huku, mkutano wa dharura wa shirika la afya duniani, WHO unajitayarisha kuamua iwapo itangaze dharura ya kimataifa kuhusiana na mlipuko huo. Wataalam wanatumai mikutano hii itachochea hatua za kimataifa, ikiwa ni pamoja na…